Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Thank you my dear, hahaha style mpya ya mwaka huu,hapana dear basi tu sijui kwanini najikuta mpka mechi iishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikiwa kwa TV afu goli lifungwe nisipost?? Nitaumwa kwa kweli
Sema kuna mechi nyingine ni hatari kuangalia kwa afya yako....kama leo kipindi cha pili nilihisi network imekata gafla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Nilikuwa namjibu huyo jamaa ambaye anang'ang'ania kuwa OGS Hana mbinu za uwanjani

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia Ole alifanya mabadiliko ya wapi Rash na Jlingz wanacheza. Ole akisaidiwa na Mike Phelan hawezi kukosa tactics aisee.

Najua timu haiwezi kushinda mechi zote zilizobaki (ikitokea itakuwa poa lakini), ila angalau unaiona old #GGMU kwa mbali.
 
De Gea
IMG_20190114_012642.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Most active sport thread

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu ni kwamba Muna washabiki wengi kuliko nyuzi zote za Soccer humu JF na ndiyomana hata kipindi cha Mourinho plastic fans walipoukinbia uzi basi ulikuwa ukijaza page.

Kuhusu uzi kuwa Most Active si huu tu bali nyuzi zetu hazisogei sana kutokana na kuwa na Washabiki kidogo JF kiasi ya kwamba wanaocomment ni walewale tu.

Uzi uliokufa ni wa Arsenal Coz una Washabiki wengi JF kukaribia Man U lakini hausogei.
 
Sare ni matokeo mazuri zaidi kwetu, ila Arsenal anashinda hii mechi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mathematically Arsenal akishinda dhidi ya Chelsea itakuwa advantage kubwa kwetu. Mkuu unajua unahamu sana ya kutoka nafasi ya sita, ila fikiria, Chelsea katuzidi point sita, arsenal tuko naye sawa, just goal difference. So arsenal akishinda na sisi Tukishinda dhidi ya BHA Chelsea atadrop na kuwa only 3 points ahead. Hiyo ni advantage kwetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom