Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Taratibu ... dk 90 bado hazijaisha. Umesahau siku ile walitukandamiza goli 3 ndani ya dk 4?

Hahahaha ni kweli kabisa mkuu wala hujakosea kabisa...united wanacheza mpira mzuri sana....
 
duh! mwaka huu wetu tena. City watachelewa sana kuamka wanaweza wakadundwa game 3 hata 4 mfululizo!

Alafu wapo full squad na company wao walikuwa wanasema wamemkosa kwenye team
 
Hongereni kwa Ushindi Wapinzani wangu naona wapinzani wenu wa Ujirani Mafuriko yamewakumba ya Mvua sijui Mancini leo atalalamika nini kwa mikono ya kitaliano Sign.
 
Javier-Hernandez-Manchester-United-Premier-Le_2710973.jpg
 
Mwenzie bad boy Ravel Morrison kauzwa West Ham leo,SAF inabidi awape nafasi hawa vijana

Wasiwe na papara ,sasa si umeona Morrison alijua atapata timu premiership matokeo anakwenda kucheza na Doncaster Rover. Pogba akikubali ku extend contract yake kwanza europa league atakuwa anacheza na akifanya kweli msimu ujao kati anakuwa anacheza yeye
 
Back
Top Bottom