Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ndio matatizo ya kutoangalia,pamoja na kuzomewa na uwanja mzimalakini Evra alitulia na kucheza vizuri

Umejuaje game sikuicheki kuna mtu nilimwambia akanisaidie kuangalia, basi jamaa atakuwa alinidanganya hakumuona vizuri Whiteman.
 
Kama wapinzani Wenzangu wa Jadi Poleni, Ila ukweli Manchester United ndio walicheza vizuri Evra alipanda maoni yangu alicheza vizuri as professional, Enrique hakucheza vizuri aliwacha Valencia anapiga Cross sana... LFC tulitumia nafasi tu. Caroll ilikuwa kama kucheza 10 kama sio 9. United walicheza kwa utaratibu na mpira mzuri hasa Scholes, Paul Scholes kaonyesha wachezaji wengi leo namna ya kucheza mpira kwa utulivu nakumsaidia Carrick kufuata mfano maybe watu kama kina Handerson wawe wanaiga kuwatizama wenye ujuzi. Zaidi ya hapo ni Ushindi tu ndio unakuwa muhimu kwenye mpira 2-1 ni nzuri Bellamy alibadilisha Game kidogo, Steve Gerrard alichoka mbaya kwa kuhangaika kukiwa na mijitu kama Downing na Carrol i hope wataondolewa na Kenny pia aondoke nao. United waliocheza Vizuri ni Paul Scholes Man of the Match Valencia then Evra LFC Kelly,Bellamy, Kuyt sababu ya Goli tu Handerson kajitahidi, Andy Carrol ilikuwa 0 kawapa mabeki Raha wa united.
 
tatizo la man u ni kocha. Sub ya scholes ilitumaliza, pia kumpanga de gea game ya nguvu kama hii na kumweka welbeck lone striker badala ya mzoefu berbatov + kuchelewa kuwabadilisha giggs na scholes ni dhahiri tactics za saf zime expire.anapanga team kwa kufata historia ya perfomance ya wachezaji badala ya uhalisia wa sasa!
 
tatizo la man u ni kocha. Sub ya scholes ilitumaliza, pia kumpanga de gea game ya nguvu kama hii na kumweka welbeck lone striker badala ya mzoefu berbatov + kuchelewa kuwabadilisha giggs na scholes ni dhahiri tactics za saf zime expire.anapanga team kwa kufata historia ya perfomance ya wachezaji badala ya uhalisia wa sasa!
Sidhani kama sub ya Scholes ilikuwa sababu ya kufungwa kumbuka kuwa kwa sasa Scholes sio mtu wa kucheza dakika 90 .Nafikiri Kosa kubwa lilikuwa kumchezesha Welbeck lone striker akikabiliana na timu yenye mabeki 5 wazoefu,angekuwa na msaidizi mapema tungeweza kuongeza goli badala ya kulinda goli
 
Kama wapinzani Wenzangu wa Jadi Poleni, Ila ukweli Manchester United ndio walicheza vizuri Evra alipanda maoni yangu alicheza vizuri as professional, Enrique hakucheza vizuri aliwacha Valencia anapiga Cross sana... LFC tulitumia nafasi tu. Caroll ilikuwa kama kucheza 10 kama sio 9. United walicheza kwa utaratibu na mpira mzuri hasa Scholes, Paul Scholes kaonyesha wachezaji wengi leo namna ya kucheza mpira kwa utulivu nakumsaidia Carrick kufuata mfano maybe watu kama kina Handerson wawe wanaiga kuwatizama wenye ujuzi. Zaidi ya hapo ni Ushindi tu ndio unakuwa muhimu kwenye mpira 2-1 ni nzuri Bellamy alibadilisha Game kidogo, Steve Gerrard alichoka mbaya kwa kuhangaika kukiwa na mijitu kama Downing na Carrol i hope wataondolewa na Kenny pia aondoke nao. United waliocheza Vizuri ni Paul Scholes Man of the Match Valencia then Evra LFC Kelly,Bellamy, Kuyt sababu ya Goli tu Handerson kajitahidi, Andy Carrol ilikuwa 0 kawapa mabeki Raha wa united.
Nakubaliana na wewe ,tatizo la Liverpool wanalazimisha kucheza formation ambayo itamfaa Caroll ndio maana wanapata tabu sana kufunga magoli.Viuongo wenu tangu aumie Lucas imekuwa pengo kubwa sana bora Daglish amchezeshe Agger kama midfielder kuliko Henderson
 
Paul Ince: "It was schoolboy defending..."

Roy Keane: "The substitutions for Liverpool won them the game"
 
Mkuu wangu kuwa na msimamo wako maana nimeona humu leo hamna aliyesema kwamba kocha afukuzwe zaidi yako naona wamelizika na matokeo ya leo au sio??Waambie kwanza next week kuna EPL




Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mmkula mkong'oto na bado ... ..... mashoga wote lazima wahesabiwe .....
 



Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mmkula mkong'oto na bado ... ..... mashoga wote lazima wahesabiwe .....

Mods..........again

Do something na hii lugha ya huyu Wacha1..........hiyo lugha sio ya ushindani wala si ya kishabiki......hayo ni matusi..........hakuna tofauti na mtu akiandika m.s.e.n.g.e. ............au.......... h.a.n.i.t.h.i..........what are you guys moderating?...........
 
Mods..........again

Do something na hii lugha ya huyu Wacha1..........hiyo lugha sio ya ushindani wala si ya kishabiki......hayo ni matusi..........hakuna tofauti na mtu akiandika m.s.e.n.g.e. ............au.......... h.a.n.i.t.h.i..........what are you guys moderating?...........
scholesandnev_1442053a.jpg




Sasa mods watafanya nini wakati nyie wachezaji wenu ndio mashoga? Nenda kalalamike old trafford. We call a spade, spade ... where we dare talk openly! Pengine mwambie fungie awe sick na mashoga aache kuwa stunned na kufungwa.

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mkuu Ogah

Chacha Wacha1 akichema mnakimbilia kwa mods hivi chiku hizi ushoga kwa Manure imekuwa jadi kama makumbuka vijuri angalia hapa cini uone jinsi .... .... .... ... ''Patrice looks like he's jealous.''

http://t.co/sTiqaVBW
aj32ptzciaak97kmanutd.jpg



Ndio chababu Wine Romney anataka kukimbia hii timu ya mashoga ... ..
lakini anaogopa mapanga walllah! ramsey alikuwa anamliwaza tu
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Leo stoke city yupo OT. Lakini kwa fowadi legelege tuliyonayo nina wasiwasi kama tutanusurika dhidi ya kichapo.
 


[h=2]Amos in at the deep end[/h]Goalkeeper Ben Amos makes his Premier League debut for Manchester United against Stoke after illness and injury to David De Gea and Anders Lindergard.
 


Amos in at the deep end

Goalkeeper Ben Amos makes his Premier League debut for Manchester United against Stoke after illness and injury to David De Gea and Anders Lindergard.

Dah haya mambo ndio yanafanya tunakuwa tunapoteza points
 
Back
Top Bottom