ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Hii ndiyo inawachukulia man-u mda wao mwingi mazoezini siku hizi!!!
bora umeliona hilo..
Hii ndiyo inawachukulia man-u mda wao mwingi mazoezini siku hizi!!!
Haahaahaaa! Yaani hawa jamaa wa ajabu sana.bora umeliona hilo..
Sasa ni muda mwafaka kujipanga kwa ajili ya PL na Europa.
Usiwe na wasiwasi kuna jamaa anaitwa Wacha akiamka ataweka pichanahitaji foto zake sana hasa unapofungwa...
where are you mfarisayo..
Nyie wenye timu bora mtachukua Champions LeagueHahaha. Mnatoka kapa. Timu mbovu
Mbona mnapiga sana kelele??kwenye EPL tupo nafasi ya pili nyinyi timu zenu zipo nafasi ya ngapi??mbona mnatuwekea usiku lakini??
"evra just spoken to canal plus: "dirk kuyt has called me a defender 10 times. This is unacceptable""
Nyie wenye timu bora mtachukua Champions League
Bwahaahaahaaa! Hivi yule jamaa anataka aitwe mzungu???ynwa.
The thing is hamtaki kukubali kwamba timu yenu hamna kitu pale. Mna kelele nyingi sana..bwahahahahahaha. Now u are exposed!
Sawa wenye timu bora.
Nani anabisha hilo,ukweli hii ndio mojawapo ya timu ya Manu mbovu kwa miaka karibu 20, hii timu mbovu yenye viungo wazee kama Giggs,Scholes na mchovu Carick.Defence ya kina Ferdinand ambae kachoka na Evans,lakini nashangaa ilikupa kipigo kitakatifu cha goli 8The thing is hamtaki kukubali kwamba timu yenu hamna kitu pale. Mna kelele nyingi sana..bwahahahahahaha. Now u are exposed!
Usisahau kuna wengine wamebadilisha majina na avatar zao kabisaSisi ndo manure...wazee wa kuwahamisha watu vilabu....mtahamia had qpr mzimu huu..
GGMU!
Ndio matatizo ya kutoangalia,pamoja na kuzomewa na uwanja mzimalakini Evra alitulia na kucheza vizuriWhiteMan Evra leo sikumuona akipanda kwenda kushambulia...
The thing is hamtaki kukubali kwamba timu yenu hamna kitu pale. Mna kelele nyingi sana..bwahahahahahaha. Now u are exposed!