Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Mie niko poa kabisa Mkuu namshukuru Mungu. Vipi nikutumie card mkuu ya kujiunga na chama letu la GUNNERS!? 🙂🙂

Mkuu wangu hahaha umenichekesha sana aisee, mimi lile chama kubwa mkuu siwezi kuhama kabisa nihamie Arsenal ni impossible kwangu siwezi hata kidogo maana humu ndani muda wote mnakuwa na stress ni mwaka huu tu United ndio amefanya vibaya, so kule siwezi kuhama labda wewe mkuu ndio nikupe card upoteze mawazo, maana in 2 weeks unakuja kukutana na Sunderland kwenye kwenye FA, je under kocha wao mtatoka kweli??
 
Msimamo wangu ni ule ule,SACK THE MANAGER,WENGER MUST GO!

Mkuu wangu kuwa na msimamo wako maana nimeona humu leo hamna aliyesema kwamba kocha afukuzwe zaidi yako naona wamelizika na matokeo ya leo au sio??Waambie kwanza next week kuna EPL
 
Mkuu mwaka huu hampati kitu hata kimoja bora mkomalize hiyo FA CUP

...hata waliokuwa wanaangalia mechi ya leo, i mean chelski, man citeh na manure walikuwa wanasema hivyo hivyo jioni ya leo...

...sisi ARSENAL kwenye top four target yetu ni kuwapiku SPURS!!!...YES TOTTENHAM HOTSPURS ambao kwasasa wanashikilia nafasi ya tatu...

...watch
:nerd:this space, mimi mbu nakuthibitishia hili...!!!
 
Mkuu mwaka huu hampati kitu hata kimoja bora mkomalize hiyo FA CUP

HAHAHA MKUU UNATUSEMA SIS HEBU TUPIGE HESABU YA HARAKA KWAKO AMBAYE UNASE3MA UPO NAFASI YA PILI -

FA CUP - OUT

CHAMPIONS LEAGUE - OUT

CARLING CUP - OUT

MMEBAKIZA EPL AMBAYO MPAKA SASA CITY NDIO FEV ... OHHH! + uefa ndogo .....

point ni kwamba tupo same boat msimu huu wala usitucheke .... tena afadhali sisi bado tupo ndani FA cup & champs Lig
 
ushindi ushindi tu ila kikosi chetu bado saaaana yaani.... tunasafari ndefu ... ila hongera Goonerz!!! haters uwanja wenu ongeeni sasa game ishakwisha

Si haba,lakini presha 1st half ilipanda.
 
Attacking midfielder Thomas Eisfeld has completed a move to Arsenal from Borussia Dortmund on a long-term contract...

♫ ....whistling.... ♬
 

...aaaa bana, he's our "saviour!"...russian capitaine!

Naona Wenger kamlia bati Wayne Bridge, pale kushoto bado tunasuasua labda kama anampango wa kumuacha Varmelen kule kwa vile Koscienly( huyu game yake imepanda sana namkubali) na Matersecker(huwa roho inadunda sana saa nyingine pace inapoitajika) wana mudu kati kwa kiwango anachotaka.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Naona Wenger kamlia bati Wayne Bridge, pale kushoto bado tunasuasua labda kama anampango wa kumuacha Varmelen kule kwa vile Koscienly( huyu game yake imepanda sana namkubali) na Matersecker(huwa roho inadunda sana saa nyingine pace inapoitajika) wana mudu kati kwa kiwango anachotaka.

Gibbs na Sagna wote wamepona in one week watakuwa uwanjani .... ...
 
[h=1]Wilshere not ruled out for the season[/h]The Club can confirm Jack Wilshere has a small stress fracture to his right foot, however it is not accurate to state he has been ruled out for the remainder of the season.The injury is in a different area to his previous surgery, and it will be reassessed in around two weeks time by our medical team and medical experts who have worked together throughout Jack's recovery.
This is a recognised complication of a complex rehabilitation process and, of critical importance, Jack's initial injury is recovering well.

Wilshere not ruled out for the season | News Archive | News | Arsenal.com
 
[h=1]Wilshere suffers new stress fracture[/h]
February 1, 2012

By Harry Harris, Football Correspondent

ESPNsoccernet has learned Jack Wilshere has sustained a new "small stress fracture", although the Arsenal midfielder has not yet been ruled out for the rest of the season.

Arsenal blow as Wilshere suffers injury setback - ESPN Soccernet

Last week, Wilshere, 20, suffered a setback in his rehabilitation from ankle surgery, sparking fears the England international will not make his comeback this campaign and will subsequently miss Euro 2012.

Gunners boss Arsene Wenger offered a more positive outlook over the weekend, but a report on Tuesday morning suggested the youngster's setback looks long-term.
ESPNsoccernet understands the latest injury is in a different area of the ankle to Wilshere's original problem, and the playmaker has been pencilled in for a scan in two weeks' time to determine the extent of the problem.
Wenger is set to make an announcement on the matter after his side's trip to Bolton on Wednesday night, with the club hopeful Wilshere will still appear during the 2011-12 season.
On Wednesday afternoon, Arsenal issued the following statement: "The club can confirm Jack Wilshere has a small stress fracture to his right foot, however it is not accurate to state he has been ruled out for the remainder of the season.
"The injury is in a different area to his previous surgery, and it will be reassessed in around two weeks time by our medical team and medical experts who have worked together throughout Jack's recovery.
"This is a recognised complication of a complex rehabilitation process and, of critical importance, Jack's initial injury is recovering well."

Arsenal's Wilshere suffers new stress fracture - ESPN Soccernet
 
Salam wakuu, naona kikosi kimeshatoka na ni kizuri sana:

Schezyny, Varmelen, Sagna, Matersecker, Koscienly, Song, Ramsey, Arteta, Oxlade (dogo kashakua namba rasmi, ata Gervinho akirudi ngoma yake ngumu labda aende upande wa Walcott), Walcott na Van Magoli.

Kila la kheri wakuu, tuko pamoja.
 
Back
Top Bottom