The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 8,011
- 11,429
Yan inabd EPL watupangie ratiba yetu wenyw. Ingetakiwa tucheze kesho tenaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Una roho ya korosho kama ya jiwe.Leo na nyie mtapapaswa kama wenzenu wa Arsenal. Hamna timu ya kumfunga Bonamouth..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan inabd EPL watupangie ratiba yetu wenyw. Ingetakiwa tucheze kesho tenaa. View attachment 981452
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo championship?
Ile red tungepata kipindi cha Mou nawaambia tungechoka kukaba kuanzia wachezaji mpaka mashabiki, ila sasa hivi wachezaji wamerelax wanaposess mpira kama hatupo pungufu. Mechi nyingine lini jamani sipendi kukaa mda mrefu bila kuangalia hii timu ikicheza.
Hizi goli tulizisahau zilikua mara moja kwa msimu ndo mnafunga goli tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app


eti tungechoka kukaba wachezaji mpk mashabiki, dah! Mou kweli alichokwaKweli jamaa alikuwa anapoteza talents za vijana. Hat Lindolf kaimprove sema inabidi wafanyie kazi aerial balls na set pieces
Mtazameni Herrera baada ya José kuondoka,alikuwa anatuulia kipaji kabisa.
Kweli jamaa alikuwa anapoteza talents za vijana. Hat Lindolf kaimprove sema inabidi wafanyie kazi aerial balls na set pieces
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa niabaAtleast sikuhizi weekends zinakuwa nzuri.. hongereni wapendwa.....GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh
Mbona pereira namuona yupo vizir fred atakaa sawa alivurugika kiakili tuKwanini wachezaji wa Kibrazil huwa hawafanyi vizuri wakiwa Man U?
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakimbiza kiungo balaa
Mtazameni Herrera baada ya José kuondoka,alikuwa anatuulia kipaji kabisa.
Kocha kichaaa anaweza... ha haaaa
Ha ha ha ha haIle red tungepata kipindi cha Mou nawaambia tungechoka kukaba kuanzia wachezaji mpaka mashabiki, ila sasa hivi wachezaji wamerelax wanaposess mpira kama hatupo pungufu. Mechi nyingine lini jamani sipendi kukaa mda mrefu bila kuangalia hii timu ikicheza.
Hizi goli tulizisahau zilikua mara moja kwa msimu ndo mnafunga goli tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app