Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ushindi mfululizo wa mechi mbili usiwape kiburi na kuona kama timu imerejesha makali yake.

Hiyo ni kawaida timu inapopata kocha mpya morali hubadilika. Hata hivyo timu nzima ilionekana kupoteza morali chini ya manager Jose Mourihno na kuishia kucheza tu ili kukamilisha ratiba.

Mumeanza vizuri lakini bado mnahitaji kurecover mapema sana. Benchi lenu la ufundi likifanya vizuri chini ya Michael Carrick mnaweza kutoka na kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhan itategemea na aina ya kocha. Mou licha ya kuzinguana na wachezaji bodi haikumwamini.
Ila sasa ole ana relation nzur na wachezaji.. na bodi inamuamini. Tofauti ndio hiyo
Muda utasema mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo na nyie mtapapaswa kama wenzenu wa Arsenal. Hamna timu ya kumfunga Bonamouth..

Sent using Jamii Forums mobile app
hivi una habari kuwa tangu Bournemouth apande daraja hajawahi kuifunga Man United.....mzunguko wa kwanza alichapwa pale pale kwake na kikosi kibovu cha Mou pia walikuwa na nguvu ya soda sasa imekata, stay tuned bro

Bourne akikoswa saaana basi sio chini ya goli 3
 
Pochetino nae kichaa tu, wala sioni ubora wake, kama Ole atafanya vizuri apewe tu timu, huyu wa spurs nae hamna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Naungana nawe, Kwangu Pochetino ni kocha wa kawaida tu Sio Kocha wa Makombe, Kama tunataka Kocha wa Makombe ambaye tayari ameshafanya Makubwa na dunia imeshuhudia nadhani amebaki Zizou ambaye ni rahisi kumpata, wengi wana timu tayari, Gurdiola, Anchelot.

Wenger anaweza kuifaa zaidi Barcelona Au Madrid lakini Sio Man United.

Kwangu kwa Sasa naliamini Benchi letu la Ufundi Chini ya Mkongwe Mike Phelan na Michael Carick wakiongozwa na Ole though nilitamani timu angepewa R Gigs.

January tumuongeze Nguvu Ole kwa kusajili wachezaji wawili watatu na Dirisha kubwa la Usajili tumuachie Ole aunde timu ya Ushindi.

Match ya Leo itatupa Nafasi zaidi ya kumjua Kocha wetu baada ya kikosi kuwa Kamili kwa uwepo wa Sanchez na Baadhi ya majeruhi.

Baada ya match na Newcastle tutakuwa Katika Nafasi Sahihi ya kuongelea uwezo wa Ole Kama ni kocha Sahihi anayetufaa kwa Sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbimu za kimpira Mou yupo vizuri sema anakosa managerial skills. Liver kutuchapa goli 3 alideserve kulingana na form yake lakini km kocha wetu angepanga kikosi kwa usahihi bila ya chuki, upo uwezekano tusingefungwa.

Angalia matokeo ya Liver dhidi timu kubwa yanathibitisha ubora wake. Hata hivyo, EPL timu ninayokiri imetuzidi kiubora ni City tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kujua kwanini Ed Woodward anamtaka sana Paul Mitchell kuwa Mkurugenzi wa Michezo wa Manchester United ??

Ukiacha uwezo wake wa kuwa na jicho zuri la kuona wachezaji wenye vipaji wakiwa na umri mdogo na kwa gharama nafuu, anajua jinsi gani ya kutumia fedha.

Paul Mitchell aliwahi kuwa mkurugenzi wa michezo wa Tottenham sambamba na Mauricio Pochettino na sasa yupo katika wadhifa huo ndani ya RB Leipzig.

Net Spend ya vilabu hivyo viwili chini ya utawala wake ( Mauzo na Manunuzi) Jumla yake

Spurs = Euro Milioni 19.54
Leipzig = Euro Milioni 10.25

Timu zote hazijatwaa taji lolote lakini zimeweza kufuzu kucheza UEFA katika Bajeti ndogo sana : Glazer Material.
FB_IMG_1546168907415.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naungana nawe, Kwangu Pochetino ni kocha wa kawaida tu Sio Kocha wa Makombe, Kama tunataka Kocha wa Makombe ambaye tayari ameshafanya Makubwa na dunia imeshuhudia nadhani amebaki Zizou ambaye ni rahisi kumpata, wengi wana timu tayari, Gurdiola, Anchelot.

Wenger anaweza kuifaa zaidi Barcelona Au Madrid lakini Sio Man United.

Kwangu kwa Sasa naliamini Benchi letu la Ufundi Chini ya Mkongwe Mike Phelan na Michael Carick wakiongozwa na Ole though nilitamani timu angepewa R Gigs.

January tumuongeze Nguvu Ole kwa kusajili wachezaji wawili watatu na Dirisha kubwa la Usajili tumuachie Ole aunde timu ya Ushindi.

Match ya Leo itatupa Nafasi zaidi ya kumjua Kocha wetu baada ya kikosi kuwa Kamili kwa uwepo wa Sanchez na Baadhi ya majeruhi.

Baada ya match na Newcastle tutakuwa Katika Nafasi Sahihi ya kuongelea uwezo wa Ole Kama ni kocha Sahihi anayetufaa kwa Sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sanchez hatakuwepo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kujua kwanini Ed Woodward anamtaka sana Paul Mitchell kuwa Mkurugenzi wa Michezo wa Manchester United ??

Ukiacha uwezo wake wa kuwa na jicho zuri la kuona wachezaji wenye vipaji wakiwa na umri mdogo na kwa gharama nafuu, anajua jinsi gani ya kutumia fedha.

Paul Mitchell aliwahi kuwa mkurugenzi wa michezo wa Tottenham sambamba na Mauricio Pochettino na sasa yupo katika wadhifa huo ndani ya RB Leipzig.

Net Spend ya vilabu hivyo viwili chini ya utawala wake ( Mauzo na Manunuzi) Jumla yake

Spurs = Euro Milioni 19.54
Leipzig = Euro Milioni 10.25

Timu zote hazijatwaa taji lolote lakini zimeweza kufuzu kucheza UEFA katika Bajeti ndogo sana : Glazer Material.View attachment 981132

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo timu zote hazina malengo kama ya United. Brand ya United ni fans based na fans hawanufaiki na chochote kutokana na matumizi madogo au makubwa ya pesa. Wao wapo interested na furaha itokanayo na mataji, wanataka kutamba na kujidai mitaani kwa kunyakua mataji. Aki-loose fans, hawatafanya biashara hiyo kwani sponsors watasepa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo timu zote hazina malengo kama ya United. Brand ya United ni fans based na fans hawanufaiki na chochote kutokana na matumizi madogo au makubwa ya pesa. Wao wapo interested na furaha itokanayo na mataji, wanataka kutamba na kujidai mitaani kwa kunyakua mataji. Aki-loose fans, hawatafanya biashara hiyo kwani sponsors watasepa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly

United ni biashara kubwa, ambapo inatumia hela kubwa ili kuingiza hela kubwa

Ni kweli ni muhimu kupata mchezaji ambaye anaonesha value for money nzuri lakini bado club inahitaji makombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Solskjaer has enjoyed a winning start 'on loan' as United's interim manager since replacing Jose Mourinho but is is due to return to Norwegian side Molde at the end of the campaign.

But having turned down several opportunities to leave United during his 11 seasons as a player at Old Trafford, Solskjaer is keen to convince the current crop to follow suit.
"I know the club want them to sign because they are top quality players," said Solskjaer, who believes he will have an input on any transfers at United during the January window.
skysports-de-gea-david-manchester-united_4533228.jpg

David de Gea's contract has been extended until June 2020

"It's down to the players but when you're at Man United there isn't a lot of greener grass on the other side. You are at the best place. It's the biggest club in the world.
"For me, I would hope I can help or guide these players to maybe tip them over to thinking they want to stay at this club.
"If you are a regular at Manchester United, I think you should grasp the opportunity to stay here and become part of the history."
Martial's agent Philippe Lamboley publicly declared Martial wanted to leave United under Jose Mourinho in the summer and said this month the club were far from agreeing a long-term deal.
De Gea has been repeatedly linked with a move to a number of top European clubs, most notably Real Madrid.
"I had loads of offers and possibilities to move but the manager (Ferguson) sat me down and told me I was going to be an important part of his team, his squad and I was going to play enough games," said Solskjaer.
"I felt privileged to play here. I am also stubborn. The club agreed to sell me to Spurs one time and I said 'no, thank you.' My agent wanted me to go, but I knew I was at the best place.
Ut_HKthATH4eww8X4xMDoxOjBzMTt2bJ_4531723.jpg
0:58



Ole: Players must take responsibility
Ole Gunnar Solskjaer says it is up to the Manchester United players to improve and wants them to use their ‘imagination and creativity’.

Solskjaer said it is up to the Manchester United players to improve
"I wasn't sure the grass was greener somewhere else. I had a period when I wasn't playing. I would get angry. Then he would put me in the team and I would feel a big part of it and important.
"Sir Alex was the best when it came to managing squad players. We're not talking about squad players now, we are talking about top players. If you are a regular at Manchester United, I think you should grasp the opportunity to stay here and become part of the history."
'I wasn't born with it'
Solskjaer believes Martial can operate as a No 9 or out wide but believes United's priority should be "to get Anthony facing forward".
View image on Twitter


4,396 people are talking about this

Twitter Ads info and privacy


The 'baby faced assassin', who is best remembered for his winner in the 1999 Champions League final, also says Marcus Rashford has "far more than I did in terms of his physical attributes" but hopes to provide "a little bit of the nous I had inside the box".
"I wasn't born with it," he explained. "I studied finishing, I studied goals, I studied movement. I worked on my mentality because that's key. You will always miss chances but you can't do anything about them once they've gone.
"It's always about the next chance. You have got to be one step ahead as a striker, to create that space you need. My first job here after I finished playing was as a forwards' coach. So I worked with Cristiano (Ronaldo), Wayne (Rooney), Danny Welbeck, (Carlos) Tevez was here. That was a good start for me.
"But my strength was putting the ball in the net and I am sure I can give these boys a little bit of detail into scoring goals. But in terms of talent and physical attributes, the strikers here have got loads more than I had."
 
Back
Top Bottom