Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole Gunnar Solskjaer alimtoa rashford akamsogeza jessey lingard kama center foward nyuma yake alicheza pogba nyuma ya pogba alicheza fred hatukuchelewa kupata goli

Naona ila mbinu yake ilifanya kazi zilikuwa sub nzur katikati kukawa na perreira, herrera na fellain pogba akawa free

Aendelee na kwenye mech kubwa
 
Alexis Sanchez was to be out for 8weeks but when he heard that Mourinho was sacked....he recovered immediately...after 8days only.
Sanchez aliumia kwenye mazoezi November 29 na hatacheza tena mpaka mwakani,alitegemewa kuwa fit baada ya wiki 6 So far ameshakaa nje almost mwezi mmoja hizo siku 8 unazihesabu vipi?
 
My predicted X1 Vs Huddersfield

De Gea

Young Bailly Lindelof Shaw

Herrera Matic Pogba

Lingard Rashford Martial
 
OGS kaajiriwa kama kocha Wa Muda Kwa Ajili ya Kuistabilize team na kurudisha peace kwenye dressing room.

Kuna Washabiki wanalielewa hili, hawa hawatokuwa na shida na matokeo yoyote ya Man U as long as Moral Wa wachezaji unarudi.

Lakini kuna vichwa hapa subiri OGS apoteze game utaona mziki wao..

Hawasikii lolote hao! Wanaweza wakadai Kombe la EPL Msimu huuhuu.
 
OGS kaajiriwa kama kocha Wa Muda Kwa Ajili ya Kuistabilize team na kurudisha piece kwenye dressing room.

Kuna Washabiki wanalielewa hili, hawa hawatokuwa na shida na matokeo yoyote ya Man U as long as Moral Wa wachezaji unarudi.

Lakini kina vichwa hapa subiri OGS apoteze game utaona mziki wao..

Hawasikii lolote hao! Wanaweza wakadai Kombe la EPL Msimu huuhuu.

Jamaa fixture zao hazitishi sana kwa hii December na early January. Watafanya vizuri, kwa game kadhaa za mwanzo.

Shida iko 13 January wanapokipiga na Tottenham.
 
OGS kaajiriwa kama kocha Wa Muda Kwa Ajili ya Kuistabilize team na kurudisha peace kwenye dressing room.

Kuna Washabiki wanalielewa hili, hawa hawatokuwa na shida na matokeo yoyote ya Man U as long as Moral Wa wachezaji unarudi.

Lakini kina vichwa hapa subiri OGS apoteze game utaona mziki wao..

Hawasikii lolote hao! Wanaweza wakadai Kombe la EPL Msimu huuhuu.
Exactly..mimi nachotaka wachezaji morali iwe juu,na kila mmoja apewe nafasi kwa uwezo wake..kama tukifungwa itakuwa ni sehemu ya mchezo
 
Capture.PNG
Capture.PNG
 
Martial kaumia au??
So far hamna maelezo yaliyotolewa

Hakuna habari za majeruhi

Sababu inayoweza kutajwa baadae baada ya game kuisha labda ni kumpumzisha, kwani kwa kipindi cha hizi wiki mbili tatu kutakuwa na game nyingi zilizofuatana

Sababu itakuwa Rotation
 
Back
Top Bottom