Shkamoo Tot kwa sasaPep amechujuka baada ya Mou kuondoka.
Kama kawaida yetu tushaanza maneno.Sijui kwanini hatupati clean sheets. Defence yetu mbovu.
Fred bado anastrugle tumpe muda akae sawa kisaikolojiaBig up United. Kocha leo alijaribu gamble. Kucheza Fred, Ppgba na Mata kwa pamoja ilikuwa wazi midfield haitakuwa strong na hivyo kupunguza presha kwenye final third. Nashukuru ameona hiyo challenge mapema na akachukua hatua baada ya break.
4 na 5 6 na 2 mahitaji yetu makuuSijui kwanini hatupati clean sheets. Defence yetu mbovu.

. Tuendelee kupunguza gap.Alifunga zinga la goli dhidi ya Cristal Place msimu wa 2017/2018Itakuwa ndio goli la kwanza la Matic tangu aje Man united.
umesahau lile rocket last season against PalaceItakuwa ndio goli la kwanza la Matic tangu aje Man united.
instal Burma tv ni nzur zinakuletea zenyewe huangaiki kutafutaKwa tunaotumia Mobdro au TvTap ni chaneli gani inaonyesha game ya Man untd?
We are lucky tuna fixture nyepesi defence yetu ni mbovu cha msingi tuendelee kufunga magoli mengiSijui kwanini hatupati clean sheets. Defence yetu mbovu.
ConfirmedMartial kaumia au??
Jirani anaangusha points tu, so far matokeo yanaridhisha Martial sijamuona. Tuendelee kupunguza gap.