radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Huyo tunapoteza muda wakupuuza huyo chelsea kuna watu makin sio huyu mkuuMsiba mmemaliza au? Huoni aibu haya msiba hamjamaliza umeshaanza kuja kubwabwaja kwa jirani?
Huyo tunapoteza muda wakupuuza huyo chelsea kuna watu makin sio huyu mkuuMsiba mmemaliza au? Huoni aibu haya msiba hamjamaliza umeshaanza kuja kubwabwaja kwa jirani?
Wewe kama nani uoneshwe? Kwanza najiharibia na kujivunjia heshima yangu weee sio level yangu
Huku na huko chelsea kuna wakubwa zako wanajua nijadala ya kimichezo kwa wewe nakutupia kwenye dust bin
Kijana Leo ule utoto utoto wake aliuweka kando,anapata anatoa hakuna kukumbana kumbana mibavu
SahihiComent kama hizi hata kama mchezaji ni kimeo akisikia lazima ajishtukie...mou alikosea sana kuponda wachezaji hadharan!!
Smalling akiwa Mkuu na de gea msaidizi siyo mbaya. Shida ya De gea na Valencia naona siyo waongeaji ni wapole sanaCaptain anatakiwa kuwa de gea au smalling au valencia tuwatendee heshima vitu kama hivi vimemfelisha mourinho
Nadhan uzoefu wa kazi ukiwa kama kocha mkuu. Changamoto za kocha mkuu ni tofauti na msaidizi.Swali la kizushi: Wadau Hii vice versa ya Man U sijui ilikuwaje. Ole alikuwa mwanafunzi Wa Ferguson na Phelani sasa hivi wamempa Ole jukumu la kuwa Mwalimu Mkuu na msaidizi wake ni phelan. Kwa nini Phelan asingepewa nafasi ya Ole halafu nafasi ya Phelan akapewa Ole?
Kwa uchezaji huu hata Lukaku ata perform japo shida ya first touch itaendelea. Jamaa na yeye ana mbio aseesanchez akikutana na huu moto timu itakua spidi sana....KWA SPIDI YA LEO LUKAKU AJIPANGE, AKIZUBAA NAMBA ATAISHIA BENCHI
Kwa haraka haraka mtu anaweza sema Huyo ni strikerLeo nimemuona victoe lindelof wa benfica anapanda na kutoa assist
Huyo tunapoteza muda wakupuuza huyo chelsea kuna watu makin sio huyu mkuu
Leo amefanya nlichokuwa nahitaji kacheza vizuri sanaaa tangu afike Man U sijawahi muona akicheza kama leoMistake of fact lakini alichezeaga Man City ukweli Pogba sharobaro ni lizito japo lina ufundi wa kutosha.
This is United, we used to watch!

Tutakuwa wa tatu this seasonMkipambana vizuri uhakika wa kumaliza top 4 bado upo Chelsea na Arsenal hawa hawana consistency ya matokeo.
Next Week Livapool Wajiandae
Ngoja tuonePengine wanne huwez kumshusha totte
Captaincy apewe Herrera alafu Pogba awe msaidizi. Licha ya kipaji bado ana utoto Pogba.Inabidi apewe ukepteni ili kukuza morale yake!! japo kwa hali ilivyo anaweza asipewe...LEO KAWA MAN OF THE MATCH!