Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Acha kuja kutuvurugia sherehe. Endelea kupiga ramli na hasira zako za kuchaniwa mkeka Leo . Maana ulijia hizi ni enzi za Mmakonde mwenzenu mkawa mnajichinjia tu kwa Muhindi.



NB: Manchester United ninayoijua haijawahi kuwa Beki mzito anaeitwa Mangala. Itakuwa ni Manchester ya huko Kwenu Ileje au ushirombo.
Mistake of fact lakini alichezeaga Man City ukweli Pogba sharobaro ni lizito japo lina ufundi wa kutosha.
 
Unaangalia mechi au uko Live Score.


Tuanzie hapo kwanza.
Ebu ongea kimpira basi, unaanzaje kumkubali Mtu kwa mechi 1 pekee?

Au nawe ni sawa na wale washabiki wa Man City walioanza kushabikia mpira juzi juzi hapa?

Mpeni Kocha mechi hata 5 hivi ndipo itakuwa rahisi kumtathmini mwenendo wake, vinginevyo mtakuja tena hapa kulialia kama kawaida yenu na Mwantesa United
 
Ebu ongea kimpira basi, unaanzaje kumkubali Mtu kwa mechi 1 pekee?

Au nawe ni sawa na wale washabiki wa Man City walioanza kushabikia mpira juzi juzi hapa?

Mpeni Kocha mechi hata 5 hivi ndipo itakuwa rahisi kumtathmini mwenendo wake, vinginevyo mtakuja tena hapa kulialia kama kawaida yenu na Mwantesa United
Ishara si mbaya hajastrugle kupata matokeo binafsi hata mm nimekubali
 
Ebu ongea kimpira basi, unaanzaje kumkubali Mtu kwa mechi 1 pekee?

Au nawe ni sawa na wale washabiki wa Man City walioanza kushabikia mpira juzi juzi hapa?

Mpeni Kocha mechi hata 5 hivi ndipo itakuwa rahisi kumtathmini mwenendo wake, vinginevyo mtakuja tena hapa kulialia kama kawaida yenu na Mwantesa United
Vitu vingine havihitaji utafiti saana kuvielewa,Siku njema huonekana asubuhi tu
 
Ebu ongea kimpira basi, unaanzaje kumkubali Mtu kwa mechi 1 pekee?

Au nawe ni sawa na wale washabiki wa Man City walioanza kushabikia mpira juzi juzi hapa?

Mpeni Kocha mechi hata 5 hivi ndipo itakuwa rahisi kumtathmini mwenendo wake, vinginevyo mtakuja tena hapa kulialia kama kawaida yenu na Mwantesa United
Wapi nimemtaja OGS ??? Wapi nimemtaja kocha wetu Mpya ???







This topic is now closed until further notice.
 
Back
Top Bottom