Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,747
Akivaa suti mtasema anajiremba asipovaa mnaponda!! binadamu tuna kazi sana!! sisi tunataka ushindi hayo mambo ya suti ni yake na mke wake, hata akivaa bukta sisi hayatuhusu!!Safi sana OG, kocha avae hata suti siyo muda wote Mourinho yuko kwenye manguo ya ajabu kama mkazi wa Goma.

