radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Leo nimemuona victoe lindelof wa benfica anapanda na kutoa assist
Leo nimemuona victoe lindelof wa benfica anapanda na kutoa assist
Mkuu ndio tulichokuwa tunataka, tunaweza kupoteza mechi ila unaiona timu angalau ilikuwa inacheza sasa chini ya Mou kiukweli kila gemu ni fainali yaani akiongoza tu anatoa washambuliaji anaweka mabeki wake na kuanza kuchek gemu huku mmebana mambupu presha iko juu muda wote. Siwezi kusahau ile gemu na chelsea wanachomoa dakika za majeruhi.Ishara si mbaya hajastrugle kupata matokeo binafsi hata mm nimekubali
Mechi ya leo, ni kama inawajenga kisaikolojia wachezaji pamoja na kocha.Ila OG bado hajapata kipimo sahihi kwa timu yenye mafundi na makocha wenye mbinu za ukweli...nasubiri kwanza ndio nije nimwagie sifa za namna mbili, nzuri au mbaya baada ya mechi kadhaa tena ngumu na za ugenini.
Leo jamaa kaupiga aisee!! nimeshangaa kuona anaenda mpaka kwenye 18 ya adui!!Leo nimemuona victoe lindelof wa benfica anapanda na kutoa assist
Nimefurahi sana mkuu hasa 5Mkuu ndio tulichokuwa tunataka, tunaweza kupoteza mechi ila unaiona timu angalau ilikuwa inacheza sasa chini ya Mou kiukweli kila gemu ni fainali yaani akiongoza tu anatoa washambuliaji anaweka mabeki wake na kuanza kuchek gemu huku mmebana mambupu presha iko juu muda wote. Siwezi kusahau ile gemu na chelsea wanachomoa dakika za majeruhi.
GGMU
Hahahaha mourinho alishindwa kumtumia aiseee hata fred muda aliocheza ni mfup lakin alikuwa safiLeo jamaa kaupiga aisee!! nimeshangaa kuona anaenda mpaka kwenye 18 ya adui!!
man na nan kachezaUshindi mzito
GGM
Hata mm aisee wanakitu wale watu hatar sanaNimefurahi sana kumuona fred na Pereira
Sio yeye tu, nadhani wachezaji wote waliachiwa free, wacheze wawezavyo ndio maana umemuona aki shine!Haka kajitu huwa sikapendi lakin kamenifurahisha kwenye 5![]()
sanchez akikutana na huu moto timu itakua spidi sana....KWA SPIDI YA LEO LUKAKU AJIPANGE, AKIZUBAA NAMBA ATAISHIA BENCHIKwa mpira wa leo sipati picha sanchez angekuwepo na king mata