ruralofficer
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 2,499
- 3,635
Shame on youIliylfungaga dhidi ya Dortmund 5-2 mechi za kirafiki chini ya Mourinho huyo huyo, acha mahaba niue ya kinafki kijana
Shame on youIliylfungaga dhidi ya Dortmund 5-2 mechi za kirafiki chini ya Mourinho huyo huyo, acha mahaba niue ya kinafki kijana
Hahaaa angalia mfululizo wa mawazo nilimjibu mtu hapo.Kwenye soka lolote laweza tokea,Mechi bado ni nyingi.hivi Man u mna shida gani lakini, mbona wepesi wa kusahau... Mara hii mshajiona bora
Hiyo mechi ilikuwa draw y 5-5 na West Brom... Lukaku alitufanya hamna.Mara ya mwisho ilikuwa 2013 kufunga goli 5 kama sikosei
Unafahamu tume strugle mara ngapi kupata matokeo kwenye mechi kama hizi?Cardiff wapo nafasi ya ngapi mkuu?YNWA
Duh unamchukia Lingz. Dah.. Huyu dogo hujamjulia vizuri tu.Haka kajitu huwa sikapendi lakin kamenifurahisha kwenye 5![]()
Kuna issue ya Technical Skills na Management Skills, kuwa manager mzuri ni zaidi ya kuwa na technical skills. Mara nyingi sana makocha huwa wanazidiwa mbinu na wasaidizi wao, ila wasaidizi wanachokosa ni hiyo Management Skills, kwa hiyo wanaendelea kuwa wasaidizi.
Angalia hata maofisini, wale watu ambao ni mabosi siyo kwamba ni wazuri sana utendaji isipokuwa ni ujanja wa kiuongozi. Kazi wanafanya wengine yeye anaiwasilisha kama ndiye aliyeifanya.
Wakati hivi vitimu ndio vyakutengenezea goal difference kubwa.Umesahau tulikuwa tunapata wakati mgumu mechi za Brighton, Burnley n.k ... Yaani vitimu vya average performance
Raha juu ya raha,huwezi kuamini team ile ile wachezaji wale wale mpira tofauti kabisa.
Jose anastahili kupelekwa ICC😂😂😂
SurelyHamna mtu ana guarantee ya kesho, acha tutumie tulicho nacho leo!! tumeshinda, tumecheza mchezo swaaafi kabisa....ACHA TUFURAHI SHEHEE!! Mambo ya kesho tutayajua kesho ikifika!!!
![]()
Raha juu ya raha,huwezi kuamini team ile ile wachezaji wale wale mpira tofauti kabisa.
Jose anastahili kupelekwa ICC![]()

Nimezungumzia kama second choice baada ya Rasher's(Rashford)Upfront ni Rash mkuu. OG anawapa nafasi watoto wa academy. Sanches atacheza wide role aki-altenate Lingard.
Muda huohuo kuna watu wanakwambia Pogba mzito..Sasa sijui wanaangalia mpira kupitia Livescore??Zile assists za Pogba unaweza kuziombea mkopo NMB,CRDB , BOA, vicoba nk
Willian mwenyewe kwa sasa anarukuruka tu huko chelsea..Akili za mourinho bana..eti anamtaka Maguire,Perisic ili awafunge westham!!...awfull managerKweli mkuu jana walijiachia sana nawaza kama bodi ingekubali martial auzwe kwenda chelsea kisha tumchukue willian walahi ilikuwa biashara kichaa kwa upande wetu maana willian 30+ halafu martial under 24 chelsea wangefaidika sana kwa mpira aliocheza jana alikuwa vizur sana tukiimarisha na upande wa mabek mwanga unaonekana.
Kwema mzee mwezangu, Jose alinifanya nilikimbie jukwaa kwa mudaMzee mwenzangu kitambo! kwema lakini?
Mkuu we acha tu! Naimani tutarudi katika ubora wetu japo inaweza isiwe mapema.Mkubwa mpaka wewe leo nimekuona...kweli Mourinho alitukimbiza wengi![]()