Hizo pointi ndizo alizokuwa ametuzidi ManCity msimu uliopita. Leo hii, hata ligi haijafika nusu, tunapitwa pointi hizo kweli?Jamaa wanadai haijawahi tokea toka mwaka 90 man u kupigwa gape ya point 19 na anaeongoza ligi
History made
*Interesting from one Utd fan*
You arrive at a club u win Europa & league cup in frst season, 2nd season u ar #2, then 3rd season when you should backed in the transfer market to b #1 u get only Fred & Dalot,,,,hw abt tht!
he z coaching a club wth no ambition, a commercial club nt a ftball club anymo....imagine Juve were #1 last season then went on to buy 4 very good players
Da jukwaa lenu mnambwembwe balaa mmefurahii balaa hope next round mnatema zile point 3Nadhani Spurs hawajasajili mtu msimu huu lakini wanafanya vizuri
Kikosi cha jana bado nakishangaa sana wachezaj wa nne wapo bench wa maana unamtupa lingard apambane na keita,fabinho na wijndam ilikuwa kazi nyepesi sana kwa liverpoolJamaa wanadai haijawahi tokea toka mwaka 90 man u kupigwa gape ya point 19 na anaeongoza ligi
History made
Ukiacha Pogba,Fred na Mata hakuna kiungo mwingine anayeweza kulink timu kutoka katikati kwenda mbele..
Players with quality wanawekwa nyuma na wale wabutuaji ndo wanapewa nafasi..
Shida ni kwamba yule kijana kwanza hajitumi na pili anataka kuwa juu ya klabu. Hata kama wamezinguana na kocha hapaswi kuwa hivyoKama akija kocha mpya ndio tutajua kama Pogba ni tatizo au mbinu za mwalimu.
Ryan Giggs: We used to have centre-forwards like Cantona who would turn bad balls into good balls. Now we have centre-forwards like Lukaku who turn good balls into bad balls
Anampangaga felaini kwenye mechi anazoziogopa. Halafu mbaya zaidi hilo chezaji lake halina hadhi ya kuchezea Man UMourhino ni mpuuzi! Hajui hata kusoma nyakati, hivi unafanyaje sub anaingia Felaini, anabaki Matta, Pobga na Martial nje.?
Huyu jamaa ni mpumbavu sana! Kani boa sana😡😡
Namchukia kuliko hata nichukiavyo Magufuli!!!
I hate Mourinho
Da jukwaa lenu mnambwembwe balaa mmefurahii balaa hope next round mnatema zile point 3
Jamaa hana ufundi Wa kufundisha mpira ila ana mtaji Wa fitina za maneno so bado atapata timu kubwa,ila na zenyewe zitapata tabu sanaHuyu kocha akitoka Man U ataenda kufundisha vilabu visivyo na nyuma wala mbele.
Ni yeye mkuuSidhani kama Mtu Kama Giggs anaweza kusema maneno hayo..
Ni propaganda tu hizo.
Kwa taarifa zilizopo hawana mpango wa kumfuta kazi bodi itawajibika kumpatia pesa zaidi wataanza mwez wa kwanza na dirisha kubwaJamaa hana ufundi Wa kufundisha mpira ila ana mtaji Wa fitina za maneno so bado atapata timu kubwa,ila na zenyewe zitapata tabu sana
Asee pogba ni mchezaji mwingine asiyetakiwa pale kwenye timu. Mimi mchezaji anayetaka kuabudiwa na timu halafu hana jipya sipendi sana. Yule mchezaji no miongoni mwa wanaoigharimu sana timu. Hajitumi,hana kasi Wa nini sasa? Lukaku si mshambuliaji mzuri kwa sababu hata kukontro mpira ni shida,pili pasi zake si za uhakika,ni mzito kidogo kwenye kufanya maamuzi,amenenepa zaidi, kwa kifupi yule mchezaji no kama Gaudence Mwaikimba enzi zake. Nishawahi sema Man U haiwezi fanikiwa kwa kumtegemea lukaku kama main striker. Toa Huyo tafuta Mauro Icardi au Beloti,ikishindikana kabisa hata Morata jinga kabisa lile. Mourinho afukuzwe haraka iwezekanavyoNawasubiri Wale Pro Mourinho waje na utetezi wao wa Pogba ni mbovu , Lukaku ni Mbovu N.K
Hapana ndugu,yule mchezaji naamini angecheza basi timu ingecheza hovyo zaidi na pengine zisingekuwa 3. Mou na Pogba wote shida tu. Hajitumi kabisa,angalia Sanchez mpira umegoma ila unaona jitihada zake ila huyu gang star rapper ni shida asee. Na shida ni kwamba ukimkumbatia mchezaji Wa aina ya pogba basi tegemea hata akija kocha mwingine siku akiamua atamletea ujinga tu.Kumbe Leo Pogba hakucheza kwa moyo
Acheni hizi altitude za ajabu kocha mzuri utaona tu timu yake. Kama timu ingekuwa inacheza vizuri halafu matokeo hafifu hicho unachosema ingekuwa sahihi. Lakini huyu signings zake tu anashindwa kuzitumia karibia zote zimefeli unataka aletewe kina nani ndo wacheze kama atakavyo?In Josee i trust, angetimiziwa mahitaji yake ndo ningelaumu.
Hilo tatizo la ball control alikuwa nalo kubwa tu ni hivi hivi, ila kule alikuwa haonekani kwa sababu alikuwa timu ndogo kuliko man u na demand ya matokeo kule siyo kubwa kama alipo sasa. Kule hata angekosea vipi bado namba yake ilikuwepo tu. Hata wakati anaenda man u kitu mojawapo alichoongelewa na wachambuzi ni poor first touch. Wakashauri afanyie kazi hyo ila naona imeshindikanaLukaku kama namba tisa anahitaji feeding ya viungo ambao ni washambulizi wasaidizi nafasi mahususi ya Pogba. Kuhusu form kweli jamaa(Lukaku) ameharibika vilivyo sasa sijui tatizo ni nini lakini Lukaku niliyemuona Everton hakuwa wa kushindwa Ball control