Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,527
- 81,250
Poleni sana manyumbu
Mkuu,lukaku anahitaji kiungo kama Pogba ili amsaidie nini? Yani mtu hata kutuliza mpira kwake ni jasho na damu Pogba atamsaidia nini?kumtulizia mipira au?
Nani anaecheza kwa moyo??
Kumbe Leo Pogba hakucheza kwa moyo
Naheshimu maamuzi yako mkuu lakin kwa hiki cha lingard =mata fellain =fred au pogba martial nje nani anaunganisha timu? Dalot = valencia utakuwa utaniIn Josee i trust, angetimiziwa mahitaji yake ndo ningelaumu.
Mahitaji gani?In Josee i trust, angetimiziwa mahitaji yake ndo ningelaumu.
Matic kwa sasa hamna kitu akizongwa na watu wawili wanachukua mpiraKuna Herrera, kuna Matic, Lindelof, Smalling, Young, Shaw e.t.c
Nakubaliana na ww mkuuHakuna timu uingereza yenye kikosi kizuri kama United. Ila tatizo ni kocha sasa.
Matic kwa sasa hamna kitu akizongwa na watu wawili wanachukua mpira
Mkuu umenifurahisha sana hii comment yako 😂😂😂😂😂Matic kwa sasa hamna kitu akizongwa na watu wawili wanachukua mpira
Timu ina changamoto kuanzia ngazi za juu mpaka chini. JM ana mbinu outdated sana lakini kwa matatizo ya united kwa sasa hata aje wenger au pep watashindwa.Naheshimu maamuzi yako mkuu lakin kwa hiki cha lingard =mata fellain =fred au pogba martial nje nani anaunganisha timu? Dalot = valencia utakuwa utani
Viungo wa liverpool keita na fabinho wametuzidi nini? Na wamekamua vizur tu
Binafsi naona kocha tatizo usinaimbe ile liverpool ni kali kuishinda ile city anakula 4 walikiwa wanashambilia kama nyuki
Sent using Jamii Forums mobile app
benardo silva sampuli za mata wanakupa option nyingi sna kama unashambulia assist na magoli matic hupatMkuu kuna Bernardo Silva kijana mmoja mgumu mno kudispossess lakini akitangwa na hao wawili huwa anapoteza mipira
Huwezi kuwa kocha hata wa Lipuli weweNakuwa kocha kwa attitude anayoionesha Pogba nowadays nampiga Benchi
Hapana timu imebalansi vizur sana martial na rashford wanakupa option nzur sana ukiwa unashambulia wanaspid nyuma yao tia mata pogba na herrera kulia acheza valencia kushoto young nyuma pale smalling na bailly au rojo lukaku 9 uone kama hujapata matokeo matic yupo slow sana.Timu ina changamoto kuanzia ngazi za juu mpaka chini. JM ana mbinu outdated sana lakini kwa matatizo ya united kwa sasa hata aje wenger au pep watashindwa.
Salah au mane akabane na dalot what a joke?? Valencia yupo benchManchester united vs Arsenal man united vs liverpool
kumbe arsenal na liverpool ni sawa sawa kwa akili za mourinho.
- De Gea = degea
- Dalot = dalot
- Bailly = bailly
- Rojo = young
- Smalling = lindelof
- Darmian = darmian
- Herrera = herrera
- Matic = matic
- Martial = lukaku
- Lingard = lingard
- Rashford = rashford
liverpool wana wachezaji 9 ambao wana uwezo wa kutembea na mpira ila ukija kwetu sisi utafikiri mpira umetiwa kwenye maji ya moto, unacheza na watu wafupi wanaokimbia kama wamefungwa mota eti unamuingiza fellaini na matic wacheze pamoja.
game plan za kocha ni ovyo ovyo ovyo.
unajua leo diogo dalot kachezeshwa namba 7, kituko zaidi anamtoa dalot anamuingiza fellaini wakati nje yupo mata na martial.Salah au mane akabane na dalot what a joke?? Valencia yupo bench