Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kocha huyu hatufai
Mimi hilo nililisema zamani ila kwa sasa sisemi ili kila mtu ajionee.

Tatizo humu mashabiki wana mahaba na Mourinho pale anaposhinda watu wanamtetea kama anaonewa. Ila akifungwa wanaanza tena.

Mourinho hata ashinde mechi 500 mfululizo ni kocha mbovu kuliko hata Maralia Hamsini.
 
Huyo Mzee Fargason ndio mchawi wampige ban kuja uwanjan.
game ambazo Fargason hayupo uwanjan huwa tunashinda.
 
Yeah zaidi ya magoli ambayo yalitokana reflections hajafanya lingine la ajabu. Anyway unaweza kusema ndicho alichosajiliwa.
Zile goli mbili tumejichoma wenyewe

Sijamuelewa mourinho kabisa yani martial na mata wanakaake bench? Daaaa au anatafuta njia ya kufukizwa una valencia mechi ngumu anakaa benchi inanipa wasiwasi kuna litu anatafuta sio bure
 
Back
Top Bottom