SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,442
Liongelee hata hilo.moja ulilopata mzee. Napo mnahatishoZile goli mbili tumejichoma wenyewe
Sijamuelewa mourinho kabisa yani martial na mata wanakaake bench? Daaaa au anatafuta njia ya kufukizwa una valencia mechi ngumu anakaa benchi inanipa wasiwasi kuna litu anatafuta sio bure