Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Poleni sana wakuu kuna siku niliwaambia Matatizo ya Manchester United ni kocha Mourinho hata Tactical display za kuipeleka United top level na sio usajili kama anavyodai yeye hata wakimletea Messi ,Dybala, Salah kama Tactics za kocha ni mbovu ni kazi bure.

Nimeisoma hiyo meseji yako uliyasema haya tarehe moja December hii hii...wasipomfukuza Mourinho hata Europa league hawataiona next season.
 
unajua leo diogo dalot kachezeshwa namba 7, kituko zaidi anamtoa dalot anamuingiza fellaini wakati nje yupo mata na martial.
mpira wa kutegemea watu warefu wasiokuwa na uwezo wa kutembea na mpira mita 10 umepitwa na wakati.
fabinho, widjnaldum, keita, robertson hawa jamaa leo hii wametudhalilisha mpaka naona aibu kurudi kuangalia kipindi cha pili.
yaani manchester united siku hizi imekuwa ni kawaida kucheza dakika 30 bila ya kupiga shuti golini, inafika wakati kama mechi siajiona mwanzo basi sihangaiki kwenda youtube kuangalia highlights najua ni empty set.
Ajabu sana hii wakat van gaal alimtumia lingard kama 7
 
Manchester united vs Arsenal man united vs liverpool
  1. De Gea = degea
  2. Dalot = dalot
  3. Bailly = bailly
  4. Rojo = young
  5. Smalling = lindelof
  6. Darmian = darmian
  7. Herrera = herrera
  8. Matic = matic
  9. Martial = lukaku
  10. Lingard = lingard
  11. Rashford = rashford
kumbe arsenal na liverpool ni sawa sawa kwa akili za mourinho.
liverpool wana wachezaji 9 ambao wana uwezo wa kutembea na mpira ila ukija kwetu sisi utafikiri mpira umetiwa kwenye maji ya moto, unacheza na watu wafupi wanaokimbia kama wamefungwa mota eti unamuingiza fellaini na matic wacheze pamoja.
game plan za kocha ni ovyo ovyo ovyo.
Mourihno sometimes naona kama ni mtu anayebahatisha tu..game plan zake recently ni za ovyo ovyo sana...Matic anaonekana kabisa miguu imekuwa mizito lakini bado kocha ana stick naye tu..

Anamtoa Dalot anamwingiza Fellaini..nje kuna Mata,Martial...Huu si upuuzi huu mkuu

Poor Mourihno..
 
tunakumbushana jamani leo ni jumatatu tulivu lakini huenda ikageuka na kuwa jumatatu yenye machungu.
  1. barcelona
  2. real madrid
  3. bayern munich
  4. man city
  5. dortmund
  6. fc porto
  7. psg
  8. juventus.
kama kuna mdau anayeamini porto na dortmund ni wepesi anahitajika kurudi nyuma na avute kumbukumbu mechi dhidi ya sevilla msimu uliopita.
hivi kuna timu isiyotaka kupangiwa na manchester hii yenye goal 0 kwenye mechi 17?
msimu uliopita tulishindwa kuimaliza game nyumbani kwetu na msimu huu tunatakiwa tukamalize gemu ugenini.
 
tunakumbushana jamani leo ni jumatatu tulivu lakini huenda ikageuka na kuwa jumatatu yenye machungu.
  1. barcelona
  2. real madrid
  3. bayern munich
  4. man city
  5. dortmund
  6. fc porto
  7. psg
  8. juventus.
kama kuna mdau anayeamini porto na dortmund ni wepesi anahitajika kurudi nyuma na avute kumbukumbu mechi dhidi ya sevilla msimu uliopita.
hivi kuna timu isiyotaka kupangiwa na manchester hii yenye goal 0 kwenye mechi 17?
msimu uliopita tulishindwa kuimaliza game nyumbani kwetu na msimu huu tunatakiwa tukamalize gemu ugenini.
Binafsi nimekata tamaa kwa upangaji ule wa timu hadi wakina fabinho wanang'aa dhahiri hamna kocha hana mbinu kila mmoja tulipokuwa tukiangalia mpira alishangaa sana 4 playars wa maana wapo bench
 
Mpira unabadilika kila kukicha wahitaji viungo wengi kama pilau wenye kasi na maamuzi ya haraka watu wakubwa kama nyumba muda wao wa kucheza unazidi kupungua big fella mzito hana kasi sijui mwalimu alifikiria nini? unapofikiria mipira ya juu wenzio wanapita chini na kuua hiyo game plan yako. Tumestahili kufungwa na tunahitaji kubadilika sana
 
Ndo mana pep anafukuza vi academy hivi ukiviendekeza unavuna mabua kajitu hakawezi hata kutengeneza nafas wala ku drible kakifunga leo goli hadi mwakan mwez wa 3 kanapangwa kisa kanakimbiakimbia akimbie na jana


Rashford namuona kabisa kila mech anajaribu kuleta kitu tofaut ana drible anakimbia anatengeneza nafasi anaweza kumtoka bek haka hata kukakingia kifua rahisi lakin kale ka ku dab na kushek hovyo sana
 
Ndo mana pep anafukuza vi academy hivi ukiviendekeza unavuna mabua kajitu hakawezi hata kutengeneza nafas wala ku drible kakifunga leo goli hadi mwakan mwez wa 3 kanapangwa kisa kanakimbiakimbia akimbie na jana


Rashford namuona kabisa kila mech anajaribu kuleta kitu tofaut ana drible anakimbia anatengeneza nafasi anaweza kumtoka bek haka hata kukakingia kifua rahisi lakin kale ka ku dab na kushek hovyo sana
 
Manchester united vs Arsenal man united vs liverpool
  1. De Gea = degea
  2. Dalot = dalot
  3. Bailly = bailly
  4. Rojo = young
  5. Smalling = lindelof
  6. Darmian = darmian
  7. Herrera = herrera
  8. Matic = matic
  9. Martial = lukaku
  10. Lingard = lingard
  11. Rashford = rashford
kumbe arsenal na liverpool ni sawa sawa kwa akili za mourinho.
liverpool wana wachezaji 9 ambao wana uwezo wa kutembea na mpira ila ukija kwetu sisi utafikiri mpira umetiwa kwenye maji ya moto, unacheza na watu wafupi wanaokimbia kama wamefungwa mota eti unamuingiza fellaini na matic wacheze pamoja.
game plan za kocha ni ovyo ovyo ovyo.
Hahaha,kwetu wachezaji wanaoweza kukokota mpira hawana nafasi kabisa. Angalia Pereira, mata,Fred wote hao kwasababu sio wazuri kwenye mbinu za kocha za kukaba wanaonekana sio kitu.

Hii timu ukimleta mtu kama Pochettino tunabeba ubingwa asubuhi na mapema.

MUFC ina wachezaji wazuri ila mbinu za kocha ni za kizamani mno.

Tazama kulikuwa na haja gani ya kuanza na mabeki watano?katikati viungo wote hamna wa kutengeneza,Matic akizongwa tu anaachia mpira kama mgonjwa kazi yote inamuelemea Herrera.
 
Back
Top Bottom