Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ukiacha Pogba,Fred na Mata hakuna kiungo mwingine anayeweza kulink timu kutoka katikati kwenda mbele..Sasa kwa nini kocha asijaribu kupata ubora wa hawa wachezaji ambao wanaonekana wanapotential za kutosha..

Huyu Mourinho alitaka leo abahatishe ili kwenye press conference aanze kumnanga Pogba,sasa kachezea za uso..

Players with quality wanawekwa nyuma na wale wabutuaji ndo wanapewa nafasi..
Binafsi sijawahi kumkubali lingard mbele ya mata na pogba mchezaj hawez kidrible wala kutoa assist anapateje namba?

Fabinho na keita wamecheza wanamaajabu gani hadi pogba na fred wakae bench au mata?
 
Mchezaji asiyeweza kutembea hata na mpira hatua mbili huyo ni mchezaji...acheni utani.

Fellaini is just a bang average player with no football skills
Sub ya Fella ilikuwa muhimu sana, alitakiwa angalao mtu mmoja mwenye nguvu awavuruge. Shida ilikuwa kumtoa HERRERA, kiungo imekufa bado unamtoa tena herera unaweka forward. Pambaf sana.
 
Nahodha wa Manchester United Antonio Valencia, 33,yuko tayari kuhama klabu hiyo ifikapo mwezi Januari mwakani, baada ya kukubali kuwa hana uwezo wa kubadili mtazamo wa meneja wake Jose Mourinho juu yake. (Mail)
Hii habari ilinihuzunisha. Tutapambana huyo Mreno aondoke aliache hili jembe.
 
Dalot alilegea sana, halafu alikuwa na yellow.
Dalot anatakiwa kuanza kupambana na wakina crystal palece sio liverpool anamkaba salah mchezaj mwenye uzoef kazunguka timu kibao valencia,mata hata pogba na martail mechi ilikuwa inawahusu

Usajili ujao tutapata shida sana sanchez na pogba walivyoporomoka ngumu kununua mshambuliaji labda viungo wakabaji na mabek tunaweza kuwapata
 
Naungana na wanaoshangaa Mata kuwekwa bench. Sio leo tu,hakuna mchezaji pale MUFC anayeweza kumuweka bench Juan, hayupo!

Pia Matic huu msimu umemkataa kabisa lakini unashangaa Pogba anatupiwa lawama wakati hayupo vibaya kama alivyo matic
Matic kawa mzito kinoma..leo Liver katikati wanapita kama wanavyotaka..

Vitu vingine mbona vipo simple tu..play Herrera,Pogba,Fred/Mata..
 
Jamani, mwenye number zake za sim, amwambie akachukue PEPSI na FEGI mbili kwa mangi ntalipa.
Xherdan-Shaqiri-733052.jpg
 
Mechi kubwa kama hii, POGBA,VALENCIA,MATA,MARTIAL,FELLAINI wote wako benchi eti kulia kuna Darmian na Dalot ndio wapandishe mipira mbele wakapige krosi hakuna krosi hata moja imetokea kulia dakika zote 90.
 
Mechi kubwa kama hii, POGBA,VALENCIA,MATA,MARTIAL,FELLAINI wote wako benchi eti kulia kuna Darmian na Dalot ndio wapandishe mipira mbele wakapige krosi hakuna krosi hata moja imetokea kulia dakika zote 90.
nimecheka kama mazuri daaaa
 
19 pts behind Liverpool, feel fucking sick, cheering City on each week just so the rats don’t win it is fucking dreadful. Yanks have sucked the life out of us”

This quote from a United’s fan sums up my day!
 
Lakini tuseme yote, Ashley Young ni jembe moja hatari sana, na kulia angekuwepo Valencia na hapo kati Baily wangepata tabu sana. Watoto wa kizungu shida sana.
 
Mata na martial sio wa kukaa bench hata kwa pogba kama yule fabinho anacheza hao wanashindwaje? Uje keita hana maajabu kabaki kuvuruga players tu
Fred na Sanchez vipi mkuu ni wa kukaa benchi kweli?
Nawaza tu fred ampate kocha kama Guardiola itakuwa2
 
Sub ya Fella ilikuwa muhimu sana, alitakiwa angalao mtu mmoja mwenye nguvu awavuruge. Shida ilikuwa kumtoa HERRERA, kiungo imekufa bado unamtoa tena herera unaweka forward. Pambaf sana.
Umuhimu wake nini.? Ili nani amletee mipira ya juu.?

Unawezakuona ujinga wa kusudi kabisa! D
Binafsi sijawahi kumkubali lingard mbele ya mata na pogba mchezaj hawez kidrible wala kutoa assist anapateje namba?

Fabinho na keita wamecheza wanamaajabu gani hadi pogba na fred wakae bench au mata?

Naanza kukuelewa sasa!
 
Back
Top Bottom