Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unajua Torreira kanunuliwa bei gani? Unajua guendouzi kanunuliwa bei gani? Au unajua kante alinunuliwa bei gani?? If yes then jibu unalo mkuu
Mkuu kung'aa kwa mchezaji si kwamba ukinunua kwa bei ndogo au kubwa watang'aa ni kamali tu unaweza kutoa hela ndogo asifikie viwango vilevile hela ndefu ni bahat tu
Tumenunua dalot sasa kidogo tunaona kuna maendeleo tumenunua pogba flop ipo ivo
 
Back
Top Bottom