Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna wakati huwa nafikiria Pogba akae bench wachez Matic, Fred na Herera
Herrera hawezi kumuweka benchi Pogba, Hererra sijawahi kuwa convinced kuwa ni mbunifu. Ubunifu ni jambo la msingi sana kwa viungo, Pogba anawaweka benchi watu sababu ni mbunifu, anaweza kufunga akipata nafasi, kwa mashuti mazuri sijamuona mchezaji wa Old Traford anaemfikia kitu ambacho majority ya viungo hata wazuri duniani hawana kipawa hiki kwenye kushoot
Kwasasa naona Matic ndio wa kukaa bench mkuu.
MASAMILA
lukesam
 
Nimesema sana humu ndan, Pogba ndio tatizo kwenye tim yetu
Ilikuwa inashangaza sana ni jinsi gani mchezaji wetu bora wa msimu uliopita anakaa bench.

Pogba ni mzuri lakini kuna muda anakaaga na mpira akifanya utoto na mwisho wa siku anapiga pasi mbovu sana anawapa kazi wenzake.
 
Umepita muda mrefu sana tumekosa raha kama hizi. Pass za goli la Lukaku ndiyo inatakiwa siku zote. Mata anachezesha timu vizuri. Thanks to Man Utd boys.
 
Back
Top Bottom