Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kanuna yaani anaona haiwezekani yeye kukaa bench
Paul Ince comments about Pogba:
20181207_193607.jpg
20181207_193709.jpg
 
Herrera ni mchezaji mwenye DNA ya Manchester United sometimes anacheza vibaya lakini spirit yake ya kuipigania timu unaiona

Some player wakiwekwa benchi kesho lazima magazeti yaandike but Mata na Herrera hata wakipigwa benchi huwezi kuwasikia wanalialia kwenye mitandao
Huyu jamaa hata akiwa bench timu ikifunga huwa anaenda kushangilia.
 
Pogba na Sanchez ni aina ya wachezaji wanaojiskia sana,yani wanajiona wakubwa kuliko timu,Sanchez amesumbua sana pale Arsenal. Niliona sehemu Walcott akimsema kuhusu tabia yake ya kujiona
Mtazamo wangu. Ujio wa Sanchez, Pogba hakufurahia.

Sanchez alipambana sana sema pressure ya kutoa matokeo mazuri ilimsumbua na kwa kiasi hakupata ushirikiano mzuri.

Hardwork without good results na ujio wake macho yote yalimtazama....ilimsumbua kisaikolojia na kuwa frustrated.

Bora ya Sanchez anajituma na unaona kuliko Pogba.
 
Anasema pogba kurudi kwny timu inabidi acheze kwa mentality kama wanayocheza wenzie
 
Back
Top Bottom