Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Pogba ana mambo mengi sana ya kujifunza toka kwa Herrera.
Herrera ni mchezaji mwenye DNA ya Manchester United sometimes anacheza vibaya lakini spirit yake ya kuipigania timu unaiona

Some player wakiwekwa benchi kesho lazima magazeti yaandike but Mata na Herrera hata wakipigwa benchi huwezi kuwasikia wanalialia kwenye mitandao
 
Herrera ni mchezaji mwenye DNA ya Manchester United sometimes anacheza vibaya lakini spirit yake ya kuipigania timu unaiona

Some player wakiwekwa benchi kesho lazima magazeti yaandike but Mata na Herrera hata wakipigwa benchi huwezi kuwasikia wanalialia kwenye mitandao
Kiukweli pia media zinatuaribia timu yetu sana, media Zina hujuma za wazi wazi kabisa
 
Herrera ni mchezaji mwenye DNA ya Manchester United sometimes anacheza vibaya lakini spirit yake ya kuipigania timu unaiona

Some player wakiwekwa benchi kesho lazima magazeti yaandike but Mata na Herrera hata wakipigwa benchi huwezi kuwasikia wanalialia kwenye mitandao
kwani paul scholes na rio ferdinand wanasemaje kuhusiana na ander herrera?
mkuu hivi yard 40 ni umbali mkubwa sana?

nimesikia stori eti andres iniesta pia hafikishi yard 40 pasi zake.

mechi ya southampton na arsenal tulimuhitaji juan mata kuliko ................

ulishawahi kumuona guardiola akimweka nje bila ya sababu ya msingi david silva?

teh teh teh teh
 
kwani paul scholes na rio ferdinand wanasemaje kuhusiana na ander herrera?
mkuu hivi yard 40 ni umbali mkubwa sana?

nimesikia stori eti andres iniesta pia hafikishi yard 40 pasi zake.

mechi ya southampton na arsenal tulimuhitaji juan mata kuliko ................

ulishawahi kumuona guardiola akimweka nje bila ya sababu ya msingi david silva?

teh teh teh teh
Software ni muhimu sana kwenye Timu, nafikiri hata kwenye maisha piah
 
POGBA AONDOKE TU
Kidudu ntu!
Screenshot_20181208-194825.jpg
 
Back
Top Bottom