MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,186
- 5,450
Wewe ni man United huko njaa njaa zako.Ni kweli kabisa maana wewe unaeshabikia hiyo yako umezaliwa mjini na umecheza mjini. Lakini mbona hizi timu zinakufungafunga sana? Halfu vijiji vyote havifanani na vya huko ulipotoka wewe. Wengine vijiji vyetu ni ulaya kwako. Sio kila mtu katoka chato. Kwni mm kukufunga ndio uanze kunitengenezea biography. Ok basi mm nilikuwa mshabiki wa Man U nikaona hatufanyi vizuri kila siku nafungwa tu nikaamua kuhamia city. Na wewe karibu.