Hapo probability ya kushiriki UCL inazidi kupungua maana huu msimu unaendana na ule wa 2016 ambao tuliingilia UCL kupitia mlango wa nyumaUnited's Last 6 seasons after 14 games
2013 = 25pts (Moyes)
2014 = 25pts (LVG)
2015 = 28pts (LVG)
2016 = 21pts (Jose)
2017 = 32 pts (Jose)
2018 = 22pts (Jose)
top 4 haiwezekani in reality, na mara hii mlango wa nyuma wa UCL haupo tena. Maana hatuna tunapofika kwenye UCL... in short next season hatumo UCL na itakuwa Kheri kwetu ili tukose mapato na mkataba yanayotokana na UEFA including deal la Adidas litapungua sana.Hapo probability ya kushiriki UCL inazidi kupungua maana huu msimu unaendana na ule wa 2016 ambao tuliingilia UCL kupitia mlango wa nyuma
Na goal difference ilikuaje? mana dah.... baada ya mechi 14 bado inasoma kwenye negative??United's Last 6 seasons after 14 games
2013 = 25pts (Moyes)
2014 = 25pts (LVG)
2015 = 28pts (LVG)
2016 = 21pts (Jose)
2017 = 32 pts (Jose)
2018 = 22pts (Jose)
Na mkataba unaompaga jaeuri edward woodward ni wa adidas tunaposhiriki uefa tunavuta mpunga wa maana ndio ambacho amekuwa akisisitiza timu ishike nafasi za nne za juu sio ubingwa yule mjinga msimu uliopita tulishika nafasi ya pili anamtumia mourinho mesej kumwambia alikuwa na msimu mnzur sana wakat hatukuchukua hata kombe moja mawazo yake ni kuvuta pesa za adidas maana tukishindwa kwenda uefa tunawalipa adidas kipaumbele chake ni pesa si mpira timu imedumaa sana chini ya utawala wa huyu jamaa.top 4 haiwezekani in reality, na mara hii mlango wa nyuma wa UCL haupo tena. Maana hatuna tunapofika kwenye UCL... in short next season hatumo UCL na itakuwa Kheri kwetu ili tukose mapato na mkataba yanayotokana na UEFA including deal la Adidas litapungua sana.
Na ndio maana ninaomba sana tusiingie UEFA, this is in best interest of Football Club, I just wish MUFC fans nao, wakagoma kwenda uwanjani mpaka Woody amuondoe Mou na abadilisha timu kutoka kuwa business brand to Football club.Na mkataba unaompaga jaeuri edward woodward ni wa adidas tunaposhiriki uefa tunavuta mpunga wa maana ndio ambacho amekuwa akisisitiza timu ishike nafasi za nne za juu sio ubingwa yule mjinga msimu uliopita tulishika nafasi ya pili anamtumia mourinho mesej kumwambia alikuwa na msimu mnzur sana wakat hatukuchukua hata kombe moja mawazo yake ni kuvuta pesa za adidas maana tukishindwa kwenda uefa tunawalipa adidas kipaumbele chake ni pesa si mpira timu imedumaa sana chini ya utawala wa huyu jamaa.
Fact mkuu.Na ndio maana ninaomba sana tusiingie UEFA, this is in best interest of Football Club, I just wish MUFC fans nao, wakagoma kwenda uwanjani mpaka Woody amuondoe Mou na abadilisha timu kutoka kuwa business brand to Football club.
Mkuu kukosa mapato unaona ndio itakuwa bora?top 4 haiwezekani in reality, na mara hii mlango wa nyuma wa UCL haupo tena. Maana hatuna tunapofika kwenye UCL... in short next season hatumo UCL na itakuwa Kheri kwetu ili tukose mapato na mkataba yanayotokana na UEFA including deal la Adidas litapungua sana.
Manchester United could be without eight defenders for the meeting with Arsenal on Wednesday. Smalling, Bailly, Jones, Shaw, Lindelof, Valencia and Darmian all have injuries and Young is suspended. [@TelegraphDucker] The Peoples Person on Twitter
Hahahahaha mwaka huu mnachungulia na kunyuti kando. Najua Mourinho akitimuliwa hili jukwaa litavamiwa na wakongwe wote.Woodward /Glazers hawawezi kukubali kumuuza Pogba kwa sasa
Mourinho mechi kama hizo ndio huwa zinampa heshima.Sioni ni kwa namna gani tutashinda kesho