Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mourinho akishindwa kupata matokeo anawalaumu tu wachezaji je yeye hawezi kuwa sababu ya kukosekana kwa matokeo hayo??

Anasema kuna wachezaji hawachezi kwa moyo..inaweza ikawa kweli ndio ila kusema hivyo publically inaonyesha jinsi gani jamaa yupoyupo tu pale united..

 
Mourinho akishindwa kupata matokeo anawalaumu tu wachezaji je yeye hawezi kuwa sababu ya kukosekana kwa matokeo hayo??

Anasema kuna wachezaji hawachezi kwa moyo..inaweza ikawa kweli ndio ila kusema hivyo publically inaonyesha jinsi gani jamaa yupoyupo tu pale united..

Hajawahi sema yeye ndo chanzo cha kufungwa hata baada ya kumuanzisha Fellaini game ya city alisingizia eti tumechoka.....

Sijui board inawaza nini ila msimu ujao naona tunaenda Europa... Pia tunashindwa kuonesha movement za kutafuta goli sisi tukianza kurukaruka basi ndo dakika zote... Mou anatuongezea mzigo tu, tuchukue kocha mwingine apewe uhuru na director asimamie vizuri usajili na mikataba plus academy players....
 
Hajawahi sema yeye ndo chanzo cha kufungwa hata baada ya kumuanzisha Fellaini game ya city alisingizia eti tumechoka.....

Sijui board inawaza nini ila msimu ujao naona tunaenda Europa... Pia tunashindwa kuonesha movement za kutafuta goli sisi tukianza kurukaruka basi ndo dakika zote... Mou anatuongezea mzigo tu, tuchukue kocha mwingine apewe uhuru na director asimamie vizuri usajili na mikataba plus academy players....
Spurs under Pochettino:

Spent £0 in the summer
Won 3-0 at Old Trafford
Ended Chelsea's unbeaten run
9 points ahead of Man Utd
More goals scored than Utd, fewer conceded
Sissoko playing like Pogba
Pogba playing like Sissoko



Kwa hizi fact naona hata kocha kikwazo.
 
Jana nimemuangalia martial kaganda upande ule ule wa kushoto hii ina maana maelezo ya kocha huyu mtu ni mzur akiwa anatokea pembeni kuingia ndani ya box la adui nikamuona sanchez anashuka sehemu ya pogba kufuata mipira hii ina maana hakuna viungo wanaompelekea huduma twende mbele kushambulia kama ukianza na herrera,pogba na fred mbele kukawa na martail,rashford na sanchez au mata akakaa pa fred tayar timu ipo sawa

Shaw siwez kusema alikuwa na kadi ila darmian hana ubavu wa kumuweka bench dalot alicheza vizur sana mech ya liverpool vs porto uefa pale anfield tayar mzoef sijui kwa nini anakaa banch na mech iliisha 0-0
 
Mourinho akishindwa kupata matokeo anawalaumu tu wachezaji je yeye hawezi kuwa sababu ya kukosekana kwa matokeo hayo??

Anasema kuna wachezaji hawachezi kwa moyo..inaweza ikawa kweli ndio ila kusema hivyo publically inaonyesha jinsi gani jamaa yupoyupo tu pale united..

Mourinho sometime huwa anajichanganya sana

Kama juzi ameongea kwenye chombo cha habari kwamba kina Lingard, Shaw, Rashford na Martial wana utoto

Hii ina discourage wachezaji, na kufanya wasicheze kwa moyo huo anaoutaka yeye
 
Mourinho sometime huwa anajichanganya sana

Kama juzi ameongea kwenye chombo cha habari kwamba kina Lingard, Shaw, Rashford na Martial wana utoto

Hii ina discourage wachezaji, na kufanya wasicheze kwa moyo huo anaoutaka yeye
Kweli mkuu..hivi huwa anashindwa kukaa nao chini na kuwaeleza hayo anayoyasemaga kwenye media??..
 
Kocha anayetuaminisha kuwa wachezaji hawa sio wazuri
Sanchez
Herrera
Fred
Pererra
Kocha anayetuaminisha tukicheza na
Bounamouth
Burnley
Crystal Palace
Watford
Tusishambulie tucheze kwa kuzuia ata tukicheza Old Trafford
Huyo lazima ukocha wake unatatizo
 
Spurs under Pochettino:

Spent £0 in the summer
Won 3-0 at Old Trafford
Ended Chelsea's unbeaten run
9 points ahead of Man Utd
More goals scored than Utd, fewer conceded
Sissoko playing like Pogba
Pogba playing like Sissoko



Kwa hizi fact naona hata kocha kikwazo.
Kweli mkuu tunakazi kubwa mno ya kurudi juu maana jose anaturudisha tulipotoka under David moyes
 
Spurs under Pochettino:

Spent £0 in the summer
Won 3-0 at Old Trafford
Ended Chelsea's unbeaten run
9 points ahead of Man Utd
More goals scored than Utd, fewer conceded
Sissoko playing like Pogba
Pogba playing like Sissoko



Kwa hizi fact naona hata kocha kikwazo.

Mkuu hii post akija akiiona Daud1990 sijui itakuaje Manake aliongea tokea 2017 Maneno kama haya Mukawa Munapingana.
 
Avumilie tu tunaenda kwa tathmini

Sir Alex Ferguson alikuwa Kocha Bora na Most Successful manager kwenye EPL lakini sikuwahi Kumsikia Kwenye Press akijisifu Kuwa Yeye Ni Kocha bora Kuliko Makocha wote Wa EPL..

Wala sikuwahi Kumsikia akijisifu kuwa yeye Ni Kocha Bora duniani..

Lakini Morinho haipiti Wiki atajisifu mbele ya Waandishi Wa Habari na Kuponda Wachezaji..

Hili ndiyo Linalomdhuru..

Lakini Si Kweli Kuwa Pogaba au Fred wabovu!!!

Bali Mourinho anawafanya waonekane Wabovu.

Martial
Rashford
Lingard
Hawa wakipata Kocha mwenye Urafiki na Wachezaji basi nakuhakikishia Ni Kina Giggs wapya hawa.

Lakini Mou anawaona kama Wauza Mihogo ya Kuchoma pale Ferri zinapokaa gari za Tegete - Nyuki.
 
Hajawahi sema yeye ndo chanzo cha kufungwa hata baada ya kumuanzisha Fellaini game ya city alisingizia eti tumechoka.....

Sijui board inawaza nini ila msimu ujao naona tunaenda Europa... Pia tunashindwa kuonesha movement za kutafuta goli sisi tukianza kurukaruka basi ndo dakika zote... Mou anatuongezea mzigo tu, tuchukue kocha mwingine apewe uhuru na director asimamie vizuri usajili na mikataba plus academy players....
Man u haitaweza kufika hata EUROPA . kwa mchezo niliyouona jana
 
Back
Top Bottom