Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Smalling hawapangi kabisa wenzake au hata kuwagombeza...Huyu ni kiongozi si kitasa tu. Siku man u wakipata commanding central back kama huyu basi pale nyuma patatulia
Smalling hawapangi kabisa wenzake au hata kuwagombeza...Huyu ni kiongozi si kitasa tu. Siku man u wakipata commanding central back kama huyu basi pale nyuma patatulia
Sasa timu ina jinasibu vipi ni kubwa wakat imefungwa goli 16 imefunga 15 GD -1 ipo nafasi ya 10... Bado mnasema ni timu kubwa mmerogwa nyie 😂😂😂hapa ndipo uwezo wa kiakili wa mashabiki wa chelsea ulipoishia
kuondoka kwenda wapi mkataba wake unasemaje
Mashabiki wa chelsea wakuwaonea huruma real madrid mechi 5 kafunga goli moja nayo ni timu ndo kwa chelsea ambayo ktk mech 5 wamefunga zaidi ya goli 10?Sasa timu ina jinasibu vipi ni kubwa wakat imefungwa goli 16 imefunga 15 GD -1 ipo nafasi ya 10... Bado mnasema ni timu kubwa mmerogwa nyie![]()
Mauro Icardi amezaliwa 1993
Utakuwa unavuta bangi akili yako haipo sawa wapi nimeandika pogba ni bora kwa hazard? Ndo mana narudia post zako unachuk na mashabik wa manchester united unatengeneza had topic zako sasaMkuu na huku umekuja kwamba Pogba amekua bora kwa Eden... Kuwa shabiki wa man u sometimes inatkiwa nat zilegee kdg
Hapa nani nati zimelegea kichwani soma nilichoandika na topic yako uliyoanzisha kunijibu vitu viwili tofauti.Mkuu na huku umekuja kwamba Pogba amekua bora kwa Eden... Kuwa shabiki wa man u sometimes inatkiwa nat zilegee kdg
Kwa Mata nakuunga mkono 100%, ila hao madogo bado consistence yao ina mashakaMourinho anatakiwa aendelee kuwatumia martial,rashford na mata
Martial is way better than rashford hilo kila mtu anajua..tunataka mata acheze kama no 10,then martial on left flank..na right flank washindane rashford pamoja na sanchezKwa Mata nakuunga mkono 100%, ila hao madogo bado consistence yao ina mashaka
Kati ya hao madigo, awe anaanza mmoja mwingine asubiri. Halafu Sanchez ndio akamikishe utatu wa forward line
Sanchez akubali kukaaa benchi kwa muda flaniMartial ana goli Tatu (3) kwenye mechi mbili za united zilizopita..
Sanchez ana goli 4 tokea aje old trafford..
Hii inamaanisha tunapoteza 450£ bure au nini wakuu?...atapeak form muda ujao?...I don't really know
Unadhani ukubwa wa timu unapimwaje Chief??Sasa timu ina jinasibu vipi ni kubwa wakat imefungwa goli 16 imefunga 15 GD -1 ipo nafasi ya 10... Bado mnasema ni timu kubwa mmerogwa nyie![]()
Bado ukweli unabaki ,Pogba ni zaidi ya Hazard japo position tofautiUtakuwa unavuta bangi akili yako haipo sawa wapi nimeandika pogba ni bora kwa hazard? Ndo mana narudia post zako unachuk na mashabik wa manchester united unatengeneza had topic zako sasa
They just pass to pass, and not pass to attackMkuu huyu anamtetea joginyo mzee wa back pas.yan defence na defence midfielder ndo wamepiga pasi nying chelsi meaning wanapasiana wao kwa wao kama kupoteza muda
Unajua tofauti ya garasa na kutokuwa fit?lkn Man u mnashida sana.. Wakat anaingia Man u hapakutosha humu, leo tayar ni garasa
![]()