Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi ndio yule Mtanzania ambae nimetukanwa vya kutosha humu ndani kuhusu Mou.



Ninawakumbusha mambo ambayo niliyapigia kelele na sasaa yametokea kweli ;Nilisema kuwa,

1) chini ya mou kila mchezaji ataonekana mbovu. Leo umefikia mpaka Pogba anaonekana galasa. Mata garasa, lukaku garasa, Herrera garasa, erick baily garasa, Sanchez, rashford, young , etc


2) Nilisema chini ya Mou hakuna lolote la maana kuanzia mafanikio ya uwanjani na nje ya uwanja. Tangu tulipoanza hii debate hakuna kikombe cha maana tunaweza kusimama na team yoyote kukigombea. Hivi tunavyozungumza hapa tayari tumeshafurumushwa na Derby County kwenye Carabao Cup.


3. Mwisho Kabisa nilisema huyo Mmakonde "Mou" atamaliza failures zake kwa wachezaji Wetu. Leo Pogba ndio amekuwa muhanga Wa upuuzi Wa huyu kocha. Kibaya zaidi kuna mashabiki wameshaingia mtego Wa huyu kocha.




nB: Mods nawaomba mfufue comments zangu kuhusu Mou ili tuanze kuheshimiana humu ndani.




All In All bye Bye ewe Mmakonde "Mou" mwana-mjaa laana ambae umetukosesha amani.
 
Mimi ndio yule Mtanzania ambae nimetukanwa vya kutosha humu ndani kuhusu Mou.



Ninawakumbusha mambo ambayo niliyapigia kelele na sasaa yametokea kweli ;Nilisema kuwa,

1) chini ya mou kila mchezaji ataonekana mbovu. Leo umefikia mpaka Pogba anaonekana galasa. Mata garasa, lukaku garasa, Herrera garasa, erick baily garasa, Sanchez, rashford, young , etc


2) Nilisema chini ya Mou hakuna lolote la maana kuanzia mafanikio ya uwanjani na nje ya uwanja. Tangu tulipoanza hii debate hakuna kikombe cha maana tunaweza kusimama na team yoyote kukigombea. Hivi tunavyozungumza hapa tayari tumeshafurumushwa na Derby County kwenye Carabao Cup.


3. Mwisho Kabisa nilisema huyo Mmakonde "Mou" atamaliza failures zake kwa wachezaji Wetu. Leo Pogba ndio amekuwa muhanga Wa upuuzi Wa huyu kocha. Kibaya zaidi kuna mashabiki wameshaingia mtego Wa huyu kocha.




nB: Mods nawaomba mfufue comments zangu kuhusu Mou ili tuanze kuheshimiana humu ndani.




All In All bye Bye ewe Mmakonde "Mou" mwana-mjaa laana ambae umetukosesha amani.
Hahah eti mwana mjaalana bazazi mkubwa huyu
 
Watasawazisha. Newcastle ni wabovu sana.Hahaha Matic amekosa
 
mourinho ni bonge la kocha, acheni kumsingizia mourinho, shida ipo kwa wachezaji.sasa mnataka na kocha nae aingie uwanjani? mbona mwanzo mlimshangilia alipokuja manchester km mnavotamani sasa zidane aje?

mlaumu wachezaji sio kocha wachezaji hawajitumi mourinho afanye nini sasa?
 
Jonjo, Kenedy, Diame ndio wachezaji wazuri ktk Newcastle wengine ni average. United wakiwa makini watasawazisha
 
Manchester United wanamzomea nani Rashford or Sanchez lol?
 
Manchester United watasawazisha baada ya kutoka kwa Kenedy
 
Mimi ndio yule Mtanzania ambae nimetukanwa vya kutosha humu ndani kuhusu Mou.



Ninawakumbusha mambo ambayo niliyapigia kelele na sasaa yametokea kweli ;Nilisema kuwa,

1) chini ya mou kila mchezaji ataonekana mbovu. Leo umefikia mpaka Pogba anaonekana galasa. Mata garasa, lukaku garasa, Herrera garasa, erick baily garasa, Sanchez, rashford, young , etc


2) Nilisema chini ya Mou hakuna lolote la maana kuanzia mafanikio ya uwanjani na nje ya uwanja. Tangu tulipoanza hii debate hakuna kikombe cha maana tunaweza kusimama na team yoyote kukigombea. Hivi tunavyozungumza hapa tayari tumeshafurumushwa na Derby County kwenye Carabao Cup.


3. Mwisho Kabisa nilisema huyo Mmakonde "Mou" atamaliza failures zake kwa wachezaji Wetu. Leo Pogba ndio amekuwa muhanga Wa upuuzi Wa huyu kocha. Kibaya zaidi kuna mashabiki wameshaingia mtego Wa huyu kocha.




nB: Mods nawaomba mfufue comments zangu kuhusu Mou ili tuanze kuheshimiana humu ndani.




All In All bye Bye ewe Mmakonde "Mou" mwana-mjaa laana ambae umetukosesha amani.
 
Back
Top Bottom