










Hahahhahaha refaree kakataa kutoa penalt hata japo kana hahahhahaha. Mtakonda sana mwaka huu![]()
Mou na Lukaku ni sawa na Magufuli na Makonda.
Watatoka wote ila lukaku atabaki.

Naona kazi mliyomtuma ameikamilisha vilivyo.
Mou na Lukaku ni sawa na Magufuli na Makonda.
Watatoka wote ila lukaku atabaki.
Naona kazi mliyomtuma ameikamilisha vilivyo.
sisi hatujamtuma Lukaku alipokuwa anafunga magoli last season mlikuwa mnawapiga madongo waliocheka ununuzi wake. Sasa mnakubali.




Rui faria alisoma mchezo mapema akaamua kukaa pembeni,,,,,,