Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,300
- 46,749
Sawa mkuusijafikia hatua ya kuwa man u damdamu
Sawa mkuusijafikia hatua ya kuwa man u damdamu
Mtukanane humu muuane hata mnuniane ila cha msingi ni Mou aondoke pale aende akapumzike ajitafakari.
....
kwanza tulimchukua akiwa kaisha utamu aliiacha Chelsea nafasi ya 13 sijui 15 alafu limtu linamtetea hahahahahah
√Martial ni potential kwa timu yetu.. ndo maana watu wenye akili kama ed woordward wanamshawishi aongeze mkatabahapo ndio ujue kuna plastic fans wengi hawajui mpira alafu anakuja kuropaka mbele ya wanaume eti martial takataka aisee kuna watu mafala sana duniani
Mou must Go. Imesha loosw ile man management.Mtukanane humu muuane hata mnuniane ila cha msingi ni Mou aondoke pale aende akapumzike ajitafakari.
....
kwanza tulimchukua akiwa kaisha utamu aliiacha Chelsea nafasi ya 13 sijui 15 alafu limtu linamtetea hahahahahah
Anaakili mno pia anajua psychology ya mashabiki blood fan na jinsi ya kutupata tusimame upande wakeHahahaha hapa nimecheka sana hilo ni kweli hata bodi haijui ifanye nini unajua aliwawahi kwenye media kwamba kashindwa kupewa maombi yake bila hivyo angechinjwa
Chizi kweli unafikir kidogo we msengejionee wewe mwenyewe yaani hata Mimi nimemshangaa sana huyu boya hajui mpira kabisa! eti martial kiwango kidogo! huyu jamaa ni chizi.aisee
Mimi alienikera ni mkurugenzi wa timu maana kama uliangalia final ya europa na ajax tulipak basi vibaya sana hadi kocha wa ajax aliongea ilikuwa final mbaya sana cha kushangaza alienda kumpa mkataba mpya sasa nani mpuuzi hapo kati ya kocha au mkurugenzAnaakili mno pia anajua psychology ya mashabiki blood fan na jinsi ya kutupata tusimame upande wake
Mkuu mourinho haungwi mkono kama ni kocha mzuri isipokuwa alieleta ujinga ni mkurugenzi wa timu ndo mana hadi alikodiwa na ndege atoke yeye kwa upuuzi wake unampaje mkataba mtu ambae huoni mabadiliko chanya? Anamsifia kocha kisa timu inashiriki uefa kakwepe faini ya adidas maana mkataba wa adidas timu isiposhiriki uefa wanalipwa adidas hapa yeye ndo kaharibu timu kocha alitakiwa kutoka mapema sana kakimbilia kumtia li mkataba la hovyo sana
Hivi wanaomuunga Mou mkono wanatumiaga vigezo gani?
Hakuna mechi hata moja ambayo tumeshinda EPL tungetoka salama kama zingeongezwa dakika tano tu, ukiacha game ya Young boys.
It's trueNow I understand how mentally you ain't that much fit . You're real look suffered from psychiatric disorder
Sahihi kabisaHizo taarifa umezipata wapi mkuu? Mou ni shiida ila Po halina akili nalo
Ha ha ha haHumu kuna siku tutakuja kutwangana ngumi..