Martial amenunuliwa kipindi cha LVG tena mwaka wake wa pili,, pia kama Chamberlain anapata namba Liverpool basi Martial pia anapata namba bila shidatuzungumze kama vile tunajua mpira jamani! uwezi kulinganisha kikosi cha misri na France! ninachokukuakishia salah kama angekua mfaransa bila wasiwasi dedier dechamps angumjumuisha na salah kwenye kikosi cha France lakini sio crap martial!!
salah amekua mfangaji bora last season; nikuulize wewe martial amekua utd tokea enzi za Sir Furgason, Moyes, LVG, giggs na sasa Mourihno : alishawai kufikisha hata goal 20 in EPL??
tuwe tunaheshimu records jamani!
martial akija Liverpool ata bench akai nakwambia!
mourinho leo kaikataa salam y pogba mazoezini..
Since 2015 September aliposajiliwa mpaka Leo 2018 hiyo Talented bado haijaonekana tu Talented player huwa hajifichi Acha kabisa kumfundisha Salah na vitu vya kipuuzi eti hakuna mchezaji wa Liverpool amayeweza kupata nafasi United Huyo Martial anauwezo wa kupata nafasi kikosi cha kwanza cha Jurgen Klopp.Ametemwa kwa kukosa michezo ya kutosha ngazi ya Club. He is more talented than Salah. Kwani Salah aliyeitwa kikosi cha Egypt kuna cha ziada alichofanya. Martial akicheza chini ya kocha makini, ni mzuri.
huu ugomvi sio poa kwa timu kwan kun baadhi y wachzaj wtkuw upand w pogba n wengne w mou..Kaamua Kumnunia Mwanamme Mwenziwe! lakini Nayeye Pogba Msukuma Halisi aliezaliwa Ughaibuni Kaamua Kukomaa Kibongobongo.
Unachobisha ni nini mkuu. Kwani Salah ana miaka mingapi kwenye game na ameanza kushine wakati gani?Since 2015 September aliposajiliwa mpaka Leo 2018 hiyo Talented bado haijaonekana tu Talented player huwa hajifichi Acha kabisa kumfundisha Salah na vitu vya kipuuzi eti hakuna mchezaji wa Liverpool amayeweza kupata nafasi United Huyo Martial anauwezo wa kupata nafasi kikosi cha kwanza cha Jurgen Klopp.
huu ugomvi sio poa kwa timu kwan kun baadhi y wachzaj wtkuw upand w pogba n wengne w mou..
Haaaaahaaaatuzungumze kama vile tunajua mpira jamani! uwezi kulinganisha kikosi cha misri na France! ninachokukuakishia salah kama angekua mfaransa bila wasiwasi dedier dechamps angumjumuisha na salah kwenye kikosi cha France lakini sio crap martial!!
salah amekua mfangaji bora last season; nikuulize wewe martial amekua utd tokea enzi za Sir Furgason, Moyes, LVG, giggs na sasa Mourihno : alishawai kufikisha hata goal 20 in EPL??
tuwe tunaheshimu records jamani!
martial akija Liverpool ata bench akai nakwambia!
Wewe mbona unajitoa ufahamu kwa ushabiki wa kijinga lakini Martin na Salah ni vitu viwili tofauti hata kabla Salah kuja Liverpool Martial hajawahi kuwa bora kuliko Salah.[/QUOTE]Unachobisha ni nini mkuu. Kwani Salah ana miaka mingapi kwenye game na ameanza kushine wakati gani?
Nakuhakikishia jamaa (Mou)hafiki january. Kashapoteza dressing room control. Kwa sasa mjiandae kiakili maana, Kwa jinsi anavyoongea kama mzaramo kwa kuwakosoa adharani wachezaji wake, hapa ni swala la muda tu. Akipatikana mtu ( coach) anayefit hiyo nafasi jamaa atapigwa chini.No player is bigger than a Manager or a Club. Mourinho anajua cha kufanya in January.
huu ugomvi sio poa kwa timu kwan kun baadhi y wachzaj wtkuw upand w pogba n wengne w mou..
Nachosema Mourinho kama manager mwingine alichofanya(kumvua unahodha Pogba) ni sawa. Pogba amepata kichwa hasa baada ya kuwa the expensive player then kuwin WC. But hajafanya lolote la kutisha kama wachezaji wengine. Kante ni bonge la mchezaji (high consistence performance) kuliko Pogba. Nakumbuka Ferguson alimtimua Roy Keane from Manchester United baada ya kuikosoa timu then ilikuwa behind the scenes (if I remember it right)Nakuhakikishia jamaa (Mou)hafiki january. Kashapoteza dressing room control. Kwa sasa mjiandae kiakili maana, Kwa jinsi anavyoongea kama mzaramo kwa kuwakosoa adharani wachezaji wake, hapa ni swala la muda tu. Akipatikana mtu ( coach) anayefit hiyo nafasi jamaa atapigwa chini.
Kuna mambo hayapo sawa pale klabuni. Na tatizo ni Mou.
Huyo nae Mimi siamini kama ni kocha sahihi kwa man u. Huwa naona ana uwezo mdogoNimeota Zidane katangazwa kocha mpya wa Man U.
Ila huyu mchezaji na yeye anapaswa aonyeshwe njia. Kwa tabia zake ataendelea kusumbua hata kocha mwingineKocha Mwenye akili timamu hawezi kuongea juu upuuzi View attachment 878272
Hebu taja tabia za Pogba alizoonesha ???Ila huyu mchezaji na yeye anapaswa aonyeshwe njia. Kwa tabia zake ataendelea kusumbua hata kocha mwingine
Matatizo ya United ni mengi sio kocha tu (Mourinho) kumbuka Moyes & LVG wamefundisha kabla ya Mourinho there was no any progress kibaya zaidi huenda cycle ya kuleta kocha mpya na kumfukuza itandelea until management watakapoweza ku-adress matatizo yote.There is no manager will fix this team in 2 yearsNakuhakikishia jamaa (Mou)hafiki january. Kashapoteza dressing room control. Kwa sasa mjiandae kiakili maana, Kwa jinsi anavyoongea kama mzaramo kwa kuwakosoa adharani wachezaji wake, hapa ni swala la muda tu. Akipatikana mtu ( coach) anayefit hiyo nafasi jamaa atapigwa chini.
Kuna mambo hayapo sawa pale klabuni. Na tatizo ni Mou.