Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dogo Rashford alitakiwa awe mpole na sio kuresort kwenye hasira zinazoipa hasara timu, fikiria anafanya upuuzi huo kwenye mechi vs City au Chelsea? Kama sio kupigwa hata tano

Hasira kama zile angeonyesha mtaani na sio ndani ya mechi! Ingekuwa mechi hata ya Arsenal ile red card ingeigharimu MUFC kipigo heavy, inabidi awe anatanguliza tafakuri na sio hamasa
Ni sahihi ukisemacho ila kiubinadamu baadhi ya vitu unajikuta unatoka nje ya mstari,refer back to Zinedine against Marco materrazi tena kwenye moment kama ile kwenye fainali ya kombe la dunia tena zizzou akiwa ndo mbeba timu na capitano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipind cha huyo jamaa tulipeta sana gill alotoa pesa za usajili nnavyohisi ed kakasirika baada ya mourinho ku block ronaldo kurud united jamaa anapenda sana biashara.

Leo Mourinho kasema hakukua na mpango wakumrudisha CR7 OT.
 
Dogo Rashford alitakiwa awe mpole na sio kuresort kwenye hasira zinazoipa hasara timu, fikiria anafanya upuuzi huo kwenye mechi vs City au Chelsea? Kama sio kupigwa hata tano

Hasira kama zile angeonyesha mtaani na sio ndani ya mechi! Ingekuwa mechi hata ya Arsenal ile red card ingeigharimu MUFC kipigo heavy, inabidi awe anatanguliza tafakuri na sio hamasa
Hahahah umewahi kucheza mpira?? Na umeona kisa cha yeye kureact?? Refa ndio kachemka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wachezaji wameanza wanacheza hovyo sana ...wameanza kucheza kama wanasusia mimi sioni kosa kwa kocha jose swala ni vijana hawajibiki ni kwasababu ya tofauti zao na kocha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii jukwaa tukifungwa unakutaw wawnaojidai wanazi wa timu utakuta wametema comment kama 500+ lakin i ajabu neema ikiwepo wanaona aibu kuja kutema komnti tena.
Hahahahah wameficha coment zao wanasubir tupigwe
 
Ndugu watu huwa wanachukia mpira mbovu uliozoeleka na Mou na si kwamba hata timu iki improve watu wanamchukia tu kocha. Ilifikia kipindi humu watu walisema kufungwa siyo ishu ila tatizo timu inafungwaje,inachezaje? Ndo mana Mimi hata tulipofungwa na Tot bado nilisema nimepata matumaini makubwa na timu kutokana na mabadiliko niliyoyaona kiuchezaji. So hata Leo timu imecheza vizuri sanaaa,sijaona kupaki cjui basi au baiskeli. Mwl akiendelea hivi sapoti yangu anayo kubwa tu,ila kamwe sitamsapoti atapocheza lile limpira lake la kuirundika timu yote nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Did you see the impact of Matic on last two game ?
 
Back
Top Bottom