Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

  • Thanks
Reactions: Pep
Wakuu acheni hayo mambo bwana,hahaha.
Tutofautiane kimtazamo lakini tubaki wamoja ndugu zangu.


Msifike huko,ni mbali sana!
Kuna post ukisoma zimekaa kukejeli hata kidogo unachopata too bad yani ni watu wa kudharau kila kitu kuponda tu ina maana hamna mazur unakuta hazijengi mbona humu wengi wanapost post kibao lakin tunajibishana vizur jaribu kusoma post yake tena.
 
Halafu kuna watu wanakwambia yule kocha apewe united kisa mpira wa pasi leo tumeshinda wanalala mbele tukifungwa mourinho mbaya

Kila siku nawaambia tuishabikie timu bila kujali kocha ni nani tupo kipind cha mpito
Ndugu watu huwa wanachukia mpira mbovu uliozoeleka na Mou na si kwamba hata timu iki improve watu wanamchukia tu kocha. Ilifikia kipindi humu watu walisema kufungwa siyo ishu ila tatizo timu inafungwaje,inachezaje? Ndo mana Mimi hata tulipofungwa na Tot bado nilisema nimepata matumaini makubwa na timu kutokana na mabadiliko niliyoyaona kiuchezaji. So hata Leo timu imecheza vizuri sanaaa,sijaona kupaki cjui basi au baiskeli. Mwl akiendelea hivi sapoti yangu anayo kubwa tu,ila kamwe sitamsapoti atapocheza lile limpira lake la kuirundika timu yote nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu watu huwa wanachukia mpira mbovu uliozoeleka na Mou na si kwamba hata timu iki improve watu wanamchukia tu kocha. Ilifikia kipindi humu watu walisema kufungwa siyo ishu ila tatizo timu inafungwaje,inachezaje? Ndo mana Mimi hata tulipofungwa na Tot bado nilisema nimepata matumaini makubwa na timu kutokana na mabadiliko niliyoyaona kiuchezaji. So hata Leo timu imecheza vizuri sanaaa,sijaona kupaki cjui basi au baiskeli. Mwl akiendelea hivi sapoti yangu anayo kubwa tu,ila kamwe sitamsapoti atapocheza lile limpira lake la kuirundika timu yote nyuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mi mwenyewe si muumin wa mpira wa kupak basi
 
Hapana kiubinadamu saa nyingine inatokea kwa sababu hakukuwa na sababu ya yule jamaa kumkwatua vile,so ukijaribu kujiuliza kwa nini hupati jibu na ndio temper inapochukua nafasi yake. Mimi simlaumu kabisaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna post ukisoma zimekaa kukejeli hata kidogo unachopata too bad yani ni watu wa kudharau kila kitu kuponda tu ina maana hamna mazur unakuta hazijengi mbona humu wengi wanapost post kibao lakin tunajibishana vizur jaribu kusoma post yake tena.
Pole ndugu.

Bongo sasahivi kila mtu mchambuzi wa soka na wanaielewa Man U kuliko waingereza wenyewe na wanajua kufundisha mpira kuzidi mourinho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna post ukisoma zimekaa kukejeli hata kidogo unachopata too bad yani ni watu wa kudharau kila kitu kuponda tu ina maana hamna mazur unakuta hazijengi mbona humu wengi wanapost post kibao lakin tunajibishana vizur jaribu kusoma post yake tena.
Tuvumiliane mkuu!
Muda mwingine ni vizuri tu ukasoma,ukiona haijakupendeza unaacha.
 
Mkuu wachezaj wetu ni kujituma tu na baadhi ya mapungufu tuliyonayo huwa yanaonekana mapema tu kwa mfano alipocheza fellain panahitaj mtu wa kazi kocha kaonesha haya tukija ktk mech yenye pressure fellain atachemka kwa kuwa sio sehem yake ndo mana nasema ed woordward ukaid wake sio
David gill angekuwepo tungekuwwa mbalinsana. Huyu bwana alikuwa ana jicho la vipaji. Wlikuwa anamletea fergie wachezaj wakueleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
David gill angekuwepo tungekuwwa mbalinsana. Huyu bwana alikuwa ana jicho la vipaji. Wlikuwa anamletea fergie wachezaj wakueleweka

Sent using Jamii Forums mobile app
Kipind cha huyo jamaa tulipeta sana gill alotoa pesa za usajili nnavyohisi ed kakasirika baada ya mourinho ku block ronaldo kurud united jamaa anapenda sana biashara.
 
Kipind cha huyo jamaa tulipeta sana gill alotoa pesa za usajili nnavyohisi ed kakasirika baada ya mourinho ku block ronaldo kurud united jamaa anapenda sana biashara.
kuhusu kupenda biashara ndio jambo alilolisomea ndio maana yupo hapo kwa ajili iyo...aliwafaa aseno huyu boya...........wale FA NAO JAU wamemchukua gill ili akafanye nini sasa
 
Hapana kiubinadamu saa nyingine inatokea kwa sababu hakukuwa na sababu ya yule jamaa kumkwatua vile,so ukijaribu kujiuliza kwa nini hupati jibu na ndio temper inapochukua nafasi yake. Mimi simlaumu kabisaaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app


Dogo Rashford alitakiwa awe mpole na sio kuresort kwenye hasira zinazoipa hasara timu, fikiria anafanya upuuzi huo kwenye mechi vs City au Chelsea? Kama sio kupigwa hata tano

Hasira kama zile angeonyesha mtaani na sio ndani ya mechi! Ingekuwa mechi hata ya Arsenal ile red card ingeigharimu MUFC kipigo heavy, inabidi awe anatanguliza tafakuri na sio hamasa
 
Back
Top Bottom