Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mliokua mnamponda lukaku naona kawaprove wrong

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui nitawaambia nini wanangu
DmGmie9WsAAnpFe.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila naona mabeki wenu wamerudi
Jana nilimuona Lukeshaw katika ubora wake naweza kusema ndiye beki bora wa man u kwa sasa

E&K
Ujue fellain jana kawafanya smalling na lindelof wawe bora ila pogba bado naona hataki kubadilika japo watu watanipinga yupo slow sana kwenye maamuzi
 
mwnadamu pekee wa kumuokoa romelu lukaku na hii aibu aliyonayo ni diogo dalot.
inaonyesha dhahiri romelu lukaku mguu wake hauna shabaha ya uhakika kuliko kichwa chake.
nafasi alizoendelea kuzitupa mechi ya jana upande wa pili lionel messi kaitumia vizuri.
diogo dalot ni hodari sana kwa kupiga krosi kuliko mlinzi wowote tulienae kwenye timu yetu.
40586803_2061661963893770_6755334934941925376_n.jpg

victor lindelof amepewa kila kitu ambacho mlinzi wa kisasa anatakiwa kuwa nacho lakini cha ajabu ameshindwa kuwa na nguvu za kutosha kwa ajili ya kupambana na washambuliaji.
hizi nguvu alizopewa phil jones natamani ziingie kwenye mwili wa lindelof japo kimiujiza.
 
mwnadamu pekee wa kumuokoa romelu lukaku na hii aibu aliyonayo ni diogo dalot.
inaonyesha dhahiri romelu lukaku mguu wake hauna shabaha ya uhakika kuliko kichwa chake.
nafasi alizoendelea kuzitupa mechi ya jana upande wa pili lionel messi kaitumia vizuri.
diogo dalot ni hodari sana kwa kupiga krosi kuliko mlinzi wowote tulienae kwenye timu yetu.
40586803_2061661963893770_6755334934941925376_n.jpg

victor lindelof amepewa kila kitu ambacho mlinzi wa kisasa anatakiwa kuwa nacho lakini cha ajabu ameshindwa kuwa na nguvu za kutosha kwa ajili ya kupambana na washambuliaji.
hizi nguvu alizopewa phil jones natamani ziingie kwenye mwili wa lindelof japo kimiujiza.
Lindolef hachez kabisa mipira ya juu akiruka na mshambuliaji lazima aanguke ila katakuwa poa kwa mech ya jana nilitumia muda mwingi kumuangalia yeye nilichogundua tunahitaj jemedali mmoja ndipo dogo aendelee kukomaa taratibu umri wake bado mdogo kocha ajae atafaidika sana ni hizo damu changa pia diogo dalot yupo poa nimemuona kweny under 23 juz japo anatumakosa umr nae bado miaka 19 hii ina maana kama shaw ataendelea na kiwango chake bora suala la mabek wa pembeni tunaweza kuanza kulikimbia hapo wakirudi wakina fosu mensah na axel tuanzebe na demitr mitchel na bailly timu ipo suala ni uvumilivu tu.
 
Back
Top Bottom