lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 13,199
- 28,080
Halafu kuna watu wanakwambia yule kocha apewe united kisa mpira wa pasi leo tumeshinda wanalala mbele tukifungwa mourinho mbaya
Kila siku nawaambia tuishabikie timu bila kujali kocha ni nani tupo kipind cha mpito
Tatizo la Mou naye haaminiki mkuu.
Leo tumecheza vizuri tumshukuru Mungu.
Leo tumecheza vizuri tumshukuru Mungu.

