Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu kuna watu wanakwambia yule kocha apewe united kisa mpira wa pasi leo tumeshinda wanalala mbele tukifungwa mourinho mbaya

Kila siku nawaambia tuishabikie timu bila kujali kocha ni nani tupo kipind cha mpito
Tatizo la Mou naye haaminiki mkuu.
Leo tumecheza vizuri tumshukuru Mungu.
 
√Fellaini amestabilize defence yetu kidogo

√Sanchez bado anacheza chini ya kiwango..Tulikuwa tunategemea awe anainfluence timu kwa kiwango cha juu,lakini amekuwa anacheza kama mchezaji wa league two ya uingereza..sikushangaa mourinho kumtoa

√Bado naamini hakuna mchezaji anayeweza kuinfluance mechi akitokea kwenye left flank kama martial akiwa kwenye form yake..refer takwimu za msimu uliopita

√Shaw kawa mnyama mkali..no more word

√Kocha anashindwaje kupata Centre back partnership anayoiamini?...Leo kacheza huyu kesho yule..Navyoona inabidi awaamini wawili na wapeme maelekezo,naamini atleast itasaidia defence yetu kutulia kidogo..

√Lukaku huyu ni straiker ambaye yupo butu upande mmoja na upande mwingine ni sio butu kihivyo..huwezi kuwa na maamuzi mazito ukiwa kwenye lango la mpinzani kiasi kile.

√Mourinho inabidi atengeneze timu ambayo inamorali,na tactic za kueleweka,beside leo kuwa tumeshinda ila bado kuna kazi ya kufanya tuwe na uwezo wa kupress zaidi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la Mou naye haaminiki mkuu.
Leo tumecheza vizuri tumshukuru Mungu.
Mkuu wachezaj wetu ni kujituma tu na baadhi ya mapungufu tuliyonayo huwa yanaonekana mapema tu kwa mfano alipocheza fellain panahitaj mtu wa kazi kocha kaonesha haya tukija ktk mech yenye pressure fellain atachemka kwa kuwa sio sehem yake ndo mana nasema ed woordward ukaid wake sio
 
Halafu kuna watu wanakwambia yule kocha apewe united kisa mpira wa pasi leo tumeshinda wanalala mbele tukifungwa mourinho mbaya

Kila siku nawaambia tuishabikie timu bila kujali kocha ni nani tupo kipind cha mpito
Watford wapo kwenye peak..acha masihara mkuu..kwa kikosi cha spurs kocha anafanya kazi nzuri sana..tuache unafki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Martial anatakiwa kujifunza kwa shaw kwa sasa had young tunamsahau
Kuhusu Martial wala simlaumu kocha kumuweka bench,hata akipata nafasi anacheza kikawaida mno. Ni kama mvivu hivi.
 
Huu utani unaoleta mkuu hebu jaribu kuandika vitu vya kujenga basi
Utani gani ninaoleta mimi??..watford na man u nani yupo vizuri hadi sasa kwenye hizi mechi nne so far tulizocheza??..umeshawaangalia watford wanavyocheza??

Pochetino ni kocha mzuri kwa soka la kileo hilo halina ubishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utani gani ninaoleta mimi??..watford na man u nani yupo vizuri hadi sasa kwenye hizi mechi nne so far tulizocheza??..umeshawaangalia watforf wanavyocheza??

Pochetino ni kocha mzuri kwa soka la kileo hilo halina ubishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Uliangalia takwimu za united na spurs?
 
Utani gani ninaoleta mimi??..watford na man u nani yupo vizuri hadi sasa kwenye hizi mechi nne so far tulizocheza??..umeshawaangalia watforf wanavyocheza??

Pochetino ni kocha mzuri kwa soka la kileo hilo halina ubishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha bora hupimwa kwa kigezo gani?
 
Kocha anayetengeneza timu yenye chemistry kila idara ambayo mwisho wa siku inampa matokeo chanya..spurs ambao unasema sijui kocha kafanyaje,,walikuja OT na kutulaza tatu bila huku tukiwa tunachangaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ulichoandika hapa naomba kwa heshima na tuendelee kuheshimiana naomba ukiona post zangu zipuuze na mm za kwako ntapuuza.
 
Mkuu wachezaj wetu ni kujituma tu na baadhi ya mapungufu tuliyonayo huwa yanaonekana mapema tu kwa mfano alipocheza fellain panahitaj mtu wa kazi kocha kaonesha haya tukija ktk mech yenye pressure fellain atachemka kwa kuwa sio sehem yake ndo mana nasema ed woordward ukaid wake sio
Kahojiwa before game kasema kwann anamtumia fella leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom