Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna article niliisoma mahali ,walisema Rui faria ndo alikua think tank wa mourihno,,,sasa naaza kupata picha

Sent using Jamii Forums mobile app

Na unaambiwa wamekuwa wote since 2001.

Hata hivyo hatujaambiwa ni kwa nini jamaa kaondoka, maana eti anasema anaenda kupumzika.

Kwa hiyo tutegemee Man Utd kuwa ya kumi kuendelea.
 
Kuna Maneno Haya Nimeyakuna Kuna Mshkaji Kayaandika Kayatweet: "Pogba had 3 defensive mids behind him and an attacking mid besides him. This is the most unlocked a human being can possibly be, and he has dropped a 4/10 again. This is his third season here, whoever still calls him world class, have some shame".
World cup winner. Bang!!! Thnk again

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manchester United tatizo kocha ajiamini anapenda kugombana na wachezaji na uongozi .
Manchester United tatizo bodi aitimizi maitaji ya kocha kwa kumpa wachezaji awatakao .
Manchester United tatizo wachezaji waliopo awastahili kuichezea na awajuhi samani yao kwa kuchezea timu kama Manchester United.
 
IMG-20180828-WA0011.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaochukiaga kupaki BUS haya sasa jana BUS halikupakiwa, Fred, Pogba walikuwa fully kwenye mode ya kushambulia
 
Kocha wa Manchester United Jose Mourinho
amewataka waandishi wa habari kumuheshimu
baada ya timu yake kupata kipigo cha magoli
3-0 wakiwa uwanja wa nyumbani dhidi ya
Tottenham.
Mourinho akionekana kukerwa na maswali ya
waandishi, alinyanyuka kitini na kukatisha
mahojiano na wanahabari baada ya mchezo huo
uliopigwa katika uga wa Old Trafford.
Kipigo hicho cha Jumatatu usiku ndio kikubwa
zaidi akiwa uwanja wa nyumbani toka aaze
maisha yake ya ukocha, na pia kwa mara ya
kwanza amepoteza michezo miwili kati ya mitatu
ya mwanzo ya ligi.
"Nimeshinda mataji mengi ya ligi (ya England
EPL) kuliko makocha wote 19 (wa timu nyengine
zinazoshiriki EPL) ukiwaweka pamoja," amesema
Mourinho. "Nimeshinda mataji matatu na wao
mawili."
"Heshima, heshima, heshima bwana," aling'aka
Mourinho akitoka kwenye chumba cha mikutano
ya wanahabari.
Mourinho awatahadharisha Manchester
United
Mourinho 'hatastaafu akiwa Man Utd'
Goli la kichwa la nahodha Harry Kane na mawili
mengine yaliyofungwa na Lucas Moura yameipa
ushindi wa tatu mfululizo Tottenham na
kuwapandisha mpaka nafasi ya pili kwenye
msimamo wa EPL.
Mourinho, raia wa Ureno amenyenyua taji la EPL
mara tatu kwa vipindi viwili tofauti akiwa na
Chelsea, wakati Pep Guardiola na Manuel
Pellegrini wakishinda mara moja kila mmoja
wakiwa na Manchester City.
Mreno huyo pia ameshinda mataji mawili ya ligi
ya Ureno akiwa na Porto, mawili Italia akiwa na
Inter Milan, na moja Uhispania akiwa na Real
Madrid. Pia ameshinda mataji mawili ya klabu
bingwa Bara la Ulaya. Taji kubwa zaidi alilolitwaa
na Man United ni kombe la Europa mwaka 2017.
"Mnataka kama kufanya muujiza juu ya timu
yangu, ambayo ilicheza vizuri na kwa mpango,
tulikuwa vizuri sana lakini mmekuja hapa na
mnajaribu kuugeuza mkutano huu kwa
kuniangushia mzigo wa lawama," alifoka
Mourinho.
Mourinho anatafuta vijisababu vya kuhama
Man Utd?
Alipoulizwa namna United walivyojilinda dhidi ya
Spurs, alikuwa na haya ya kusema: "Samahani.
Inabidi uniambie kitu gani ni muhimu zaidi maana
sielewi. Pale ninapopata ushindi, ninapokuja hapa
mara nyingi tu mnaniambia hamkufurahishwa na
namna timu ilivyocheza."
'Wachezaji hawamtaki Mourinho'
Mshambuliaji wa zamani wa Blackburn na
Chelsea, Chriss Sutton ameiambia BBC kuwa
inaonekana kama wachezaji wa Man United
hawamtaki kocha wao.
"Sidhani kama Spurs walikamia mchezo toka
dakika za awali, lakini pale walipoweka mguu
chini, wakaitawala timu ammbayo haina uongozi.
Kuna lawama nyingi zinatolewa kwa sasa na
wachezaji wanaonekana hawataki kucheza chini
yake (Mourinho)."
Kwa mujibu wa Sutton, kwa kiwango
kilichooneshwa na kama kocha angekuwa ni
Louis van Gaal basi mashabiki wangekuwa
wanaimba nyimbo za kutaka atimuliwe.
"Rekodi ya Mourinho ni nzuri kweli, lakini kama
Man United wanataka kukubaliana na uduni, basi
hiyo ndiyo hali yao kwa sasa. Man City na
Liverpool wapo katika kiwango tofauti kabisa,"
amesema Sutton na kuongeza, "Ni aibu kupokea

kipigo cha 3-0 na sijui baada ya hapa, wao kama
timu au kocha wataelekea wapi."
 
My bare foot. Liver haina lolote, ni moto wa karatasi. United ina kikosi kizuri sana kuliko Liverpool.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekariri sana,na upo ktk delussional mode ya Mzee Ferguson
Ninachukua ama EPL au CL au vyote viwili msimu huu
Kipa mzuri,midogo imetulia,beki imara na foward bora Ulaya kwa sasa nashindwaje kuchukua CL
 
Back
Top Bottom