Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kheri kiafya ila hapa jamvini mambo bado hayajawa mazuri kipindi cha kwanza ilileta matumaini mambo yakageuka walivyotoka vyumbani huyu luke mentality yake ya kushambulia basi ericksen akawa anazipenyeza upande wake ikawa balaa
Ila Ericksen ni hatari sijui kwanini huwa hatujifunzi.

Hata wakicheza na sisi, huwa nikiona Ericksen anapiga cross huwa napatwa hofu sana.


Tottenham nao wala si kwamba walikuwa vizuri hata. They displaced a lot of passes.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatu Mzukaa
worldsports14___Bm_ydgOnpoW___.jpg
IMG-20180828-WA0021.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiacha na zile mbeleko za Web, Manchester haijawahi kuwa timu bora, ni porojo tu na kelele za mashabiki
FA na FIFA wachunguzwe kwa kumpanga muamuzi mmoja kuchezesha mechi zote za MUFC kuanzia EPL hadi UEFA.
 
Mimi Naamimi Kuna Jambo Haliposawa Kwa Mourinho! Ni kweli Hakosi la Kujibu ila Ni Vizuri aconcentrate kwenye Hoja zitokanazo na Maswali anayoulizwa. Kwakweli Majibu Ya Mourinho Kwenye Press Conference yamenifanya nizifuatilie Hizi Conferences zake.

Kinacho nishangaza Ni Kwanini Anapoulizwa Maswali Kuhusu Man United na Reporters Wa Man U yeye Katika Majibu Yake Hufanya Matatizo Ya Liverpool Kuwa Ndiyo Kigezo na hoja Yake Kubwa ya Utetezi??

Kwamfano alipoulizwa Mwenendo Wa Timu Yake alijibu "Watu Wananilaumu Mimi Niliyemaliza Nafasi ya Pili (Last Season) na Kumuona Bora Mtu (Klopp) ambaye Hajashinda Chochote".
Sasa Liverpool inahusu Nini Katika Press Zake Jamani? Mourinho huwa Hakosi Jibu Hata Kama lipo nje Ya Mada.
Na njia moja ya Kujitetea kwake Ni Kushambulia Bodi, Wachezaji na Makocha Wa Timu Nyengine.
 
Back
Top Bottom