Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

MO aingie akacheze?
Zile nafasi kakosa Lukaku na Pogba mtu kama Kane,Salah,Mane,Firmono,Lucas Maura,mtu kama Hazard anaku panish!
Unamzunguka hadi kipa wala haupo ktk tight angle lkn unakosa sasa MO afanye nn?
Bao mbili beki anashindwa nguvu na Lucas,anapiga mbele yao pamoja na kuweka mguu na ingine bad timing tackle ya Smalling!
MO apewe hela afumue kikosi mtakuwa OK
Defensive crisis is now apparrent. Jamaa hawana stamina, defender anaanguka kiwepesi, timing very poor, mbele nako kulikosekana ubunifu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio point mkuu radika anashindwa kuikubali kwa 100%.Hakuna solution kwa sasa zaidi ya Mou kufukuzwa..

Kocha mzoefu huwezi kutamka hadharani huna Imani na wachezaji wako..Au nimeshindwa Sababu sijaletewa A,B,C.
Kocha hufanya kazi na wachezaji ulio nao huku ukiwabadilisha polepole.

Mourihno analalamika wakati zaidi ya wachezaji 7 kawasajili yeye.Huwezi kubadili wachezaji 9 kwa wakati mmoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inafika mahali uvumilivu kocha una mshinda mi ninemuelewa sana jamaa sasa huyu ni striker
FB_IMG_1535430306664.jpg
 
Inafika mahali uvumilivu kocha una mshinda mi ninemuelewa sana jamaa sasa huyu ni strikerView attachment 849004
Performance ya kipindi cha kwanza na mfumo alioanza nao kocha haukuwa na tabu.
Determination ya wachezaji wetu imekuwa tatizo kubwa sana.
Tumeadhibiwa kwa uzembe sana,
Unapata clear chance ya kufunga una shindwa Fanya hivyo kwenye big match?
Binafsi ni muumini Wa Mou, isipokuwa alichokosea zaidi kilikuwa ni kulaumu askari jeshi wake hadharani huku akitoa madhaifu yao kwa maadui.
Namshukuru kwa alikotutoa, haikuwa rahisi hata kidogo kuachana na zama za Van Gaal,
Ambapo kulikuwa na rejection ya wachezaji wakubwa kusajiliwa utd.
Tunahitaji nini kwa sasa?
_Pengine Mou awaombe radhi wachezaji wake kwa sasa kuondoa tofauti zao.
Pengine bodi ya man utd na senior players waongee na wachezaji Ku rescue situation iliyokuwepo nyakati za David Moyes?
Pengine Mou ajiuzuru?
Na akijuzuru mrithi wake atakuwa nani?
Zidane kama anavyotajwa?
.......
Kwa sasa timu yetu imekosa hata falsafa iwapo uwanjani.
Hakuna hata first eleven ya kudumu hili ni tatizo kubwa kwa sasa!
Tusubiri wakati ukiamua....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi huyu jamaa sijawahi kumuelewa
Hatar sna lukaku hamna nmna ndo mcheaj wetu tena mkuu ukiwa na striker kwa mtindo huu ni ngumu sana kuwasumbua mabek wa timu pianzani sas wao watakuwa hawana kazi zaidi ya kuchukua mipira kwa lukaku ambapo haikai mbelr nakjanzisha mashambulizi kuja kwetu watu hawaoni umuhimu wa bek nzur tobby kachukua mipira mingi sana kwa lukaku.
 
Jengeni team acheni ujanja ujanja!
Uki combine Man U hii na Liverpool ni mchezaji gani wa Man U ataanza ktk kombinenga hiyo?
Hata mmoja hawezi anza,hii inaonyesha team yenu sio kabisa
Nimuweke nje kipa Octopus aanza De Gea?
 
Performance ya kipindi cha kwanza na mfumo alioanza nao kocha haukuwa na tabu.
Determination ya wachezaji wetu imekuwa tatizo kubwa sana.
Tumeadhibiwa kwa uzembe sana,
Unapata clear chance ya kufunga una shindwa Fanya hivyo kwenye big match?
Binafsi ni muumini Wa Mou, isipokuwa alichokosea zaidi kilikuwa ni kulaumu askari jeshi wake hadharani huku akitoa madhaifu yao kwa maadui.
Namshukuru kwa alikotutoa, haikuwa rahisi hata kidogo kuachana na zama za Van Gaal,
Ambapo kulikuwa na rejection ya wachezaji wakubwa kusajiliwa utd.
Tunahitaji nini kwa sasa?
_Pengine Mou awaombe radhi wachezaji wake kwa sasa kuondoa tofauti zao.
Pengine bodi ya man utd na senior players waongee na wachezaji Ku rescue situation iliyokuwepo nyakati za David Moyes?
Pengine Mou ajiuzuru?
Na akijuzuru mrithi wake atakuwa nani?
Zidane kama anavyotajwa?
.......
Kwa sasa timu yetu imekosa hata falsafa iwapo uwanjani.
Hakuna hata first eleven ya kudumu hili ni tatizo kubwa kwa sasa!
Tusubiri wakati ukiamua....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa mkuu kuokoa timu ni lazima kocha afukuzwe na si vingenevyo wachezaj hawataweza kuamka tena bora wakutane na sura mpya na maelezo mapya mbinu mpya lazima washagawanyika kwa mfano bailly kaanza kuwajibu wakina gary neville alipokosolewa mech iliyopiya sasa kuna wachezaj hapo? Mchezaj akianza kujibu mapigo ya nje ya uwanja lazima atokr kwenye msingi tu
 
Performance ya kipindi cha kwanza na mfumo alioanza nao kocha haukuwa na tabu.
Determination ya wachezaji wetu imekuwa tatizo kubwa sana.
Tumeadhibiwa kwa uzembe sana,
Unapata clear chance ya kufunga una shindwa Fanya hivyo kwenye big match?
Binafsi ni muumini Wa Mou, isipokuwa alichokosea zaidi kilikuwa ni kulaumu askari jeshi wake hadharani huku akitoa madhaifu yao kwa maadui.
Namshukuru kwa alikotutoa, haikuwa rahisi hata kidogo kuachana na zama za Van Gaal,
Ambapo kulikuwa na rejection ya wachezaji wakubwa kusajiliwa utd.
Tunahitaji nini kwa sasa?
_Pengine Mou awaombe radhi wachezaji wake kwa sasa kuondoa tofauti zao.
Pengine bodi ya man utd na senior players waongee na wachezaji Ku rescue situation iliyokuwepo nyakati za David Moyes?
Pengine Mou ajiuzuru?
Na akijuzuru mrithi wake atakuwa nani?
Zidane kama anavyotajwa?
.......
Kwa sasa timu yetu imekosa hata falsafa iwapo uwanjani.
Hakuna hata first eleven ya kudumu hili ni tatizo kubwa kwa sasa!
Tusubiri wakati ukiamua....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi kujiudhuru, uchumi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jengeni team acheni ujanja ujanja!
Uki combine Man U hii na Liverpool ni mchezaji gani wa Man U ataanza ktk kombinenga hiyo?
Hata mmoja hawezi anza,hii inaonyesha team yenu sio kabisa
Nimuweke nje kipa Octopus aanza De Gea?
My bare foot. Liver haina lolote, ni moto wa karatasi. United ina kikosi kizuri sana kuliko Liverpool.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si Kwamba Nawapa Moyo Man United ila hapa sizungumzii ushabiki Bali nazungumzia Mpira.
Hapo nimeangalia Points 2 muhimu.

1) Spurs Mara Nyingi Huwa Hana Matokeo Mazuri ndani ya OT.

2) Mourinho Maranyingi Huwa Hakubali Kupoteza B2B.

√ Kwahiyo naitabiria Mechi Man United anashinda au itakwenda Sare.

Note: "Sijasema Kuwa Spurs Hawezi Kushinda".
Mkuu kama ingekua bet ushapoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom