Jay Joowzey
Member
- Jun 15, 2017
- 17
- 19
Hahahahaha haiwezekani Bob kwa team yetu Hii mbn tutakomaNamaanisha EPL tunachkua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha haiwezekani Bob kwa team yetu Hii mbn tutakomaNamaanisha EPL tunachkua
Hata huko Chelsea miaka yake mitatu na nusu ya kwanza alifukuzwa lakini miongoni mwa sababu za kufukuzwa ilikuwa ni bad playing style na kuitengenezea uadui Chelsea zaidi badala ya kuvutia watu kwa maneno yake machafu japo timu ilikuwa solid sana. Kama mnakumbuka hadi boss alimuajiri Scolari ili aje alete entertaining football japo nae alishindwa na kikubwa hakupewa muda Wa kuitengeneza hiyo timu ya kuburudisha na matokeo mazuri.Fullback ndio shida yenu, kocha kaomba usajili akakataliwa, haya ndio matokeo
Kocha hana shida
Style haina shida
Kipa hana shida
Viungo poa
Washambuliaji nao poa
Body ya usajili wamsikilize kocha
Mo akisikilizwa anajua kuunda timu ya ubingwa na ndio maana akiwa Che alipewa rungu zote
Tulichemka kwa Klop tu,ule mfumo wake Wa uchezaji na Yale makeke yake pamoja na mihela ya Man U tungeburudika sana mana sahizi hata Angel Gomes angekuwa anatufurahisha tu.Naona wachambuzi wameshaanza kusema Mou hafiki xmass lazima atimuliwe.
Tupate kocha kama yule babu wa Bayern
Mkuu unajua maana ya full backs? Nitajie full backs wawili wa manchester united. Tuanzie hapo kwanza
Mkuu ndugu kateleza kidogo ila hiyo haiondoi Hoja zake za msingi dhidi ya Mou. Lakini hata juzi magoli karibia yote yalitokana na ubovu Wa central backs ambao ni hao hao lindelof na Bailly, japo kuna lingine lilianzia kwa Fred.Naamini bodi hairidhiki na ufundishaji Wa Mourinho ila hawawezi kuongea hadharani kutokana na maadili ya kazi. Ngoja aendelee na ufundishaji huu huu Wa kujihami kwa kila timu na chokochoko zake na wachezaji uone kitakachotokea. Muda utaongeaMourinho bado yupo yupo..
Kocha Jose Mourinho bado anaungwa mkono ndani ya Manchester United licha ya kichapo cha 3-2 dhidi ya Brighton.
Matokeo na kiwango cha timu kimeibua maneno mengi dhidi ya kocha huyo wa Kireno.
Mourinho anapewa nafasi kubwa ya kuwa kocha wa kwanza kufukuzwa msimu huu ndani ya EPL , ambapo kocha wa zamani wa Real Madrid Zinedine Zidane anapewa nafasi ya kuchukua mikoba yake.
Chanzo kutoka United kimesema," Kwanini tumzungumzie Zidane huku hakuna kazi ya kumpa ? "
Huku Ed Woodward bado anaamini Mourinho ana uwezo na uzoefu wa kuweza kubadilisha matokeo ya Man United kuwa chanya.
Radika ujue unanifurahisha hivi Mou huyu tunaemjua ndo amekuwa Wa kujenga timu kwa misimu mitatu hadi minne? Lakini mbona timu inacheza vibaya sana hivi unapenda hii timu ilivyokuwa inacheza last season na inavyoendelea kucheza? Mimi nilijua kocha atabadili mbinu msimu huu ili tumpongeze ila ameganda na mbinu zilezileKujenga timu sio jambo dogo na si kwamba mourinho ni kocha mzuri hapana safari ni ndefu hata aje nani kuna ku RISE AND FALL cha msingi uvumilivu bodi kuvutana na kocha jambo baya sana hata kama alipoint wachezaj above 29 nani kaumia mashabik,bodi au kocha?
Pia kocha yoyote atakateuliwa na timu nitamsapot no matter what
Mkuu punguza jazba sisi ni wamoja ha ha haAchana na huyo Lofa Mkuu , jitu liko so rigid kama jiwe. Anashindwa kufikirisha kichwa chake na kung'amua mambo mpaka aweke "vitaarifa".
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani huyu Fred siyo mzito na si mbovu kama watu wanavyoamini ila kwa juzi niliona alichezeshwa nyuma zaidi na huyu jamaa ni kiungo mshambulizi zaidi ndio huwa ni mzuri zaidi. Ni kama fellaini anavyoaminiwa kama namba sita,ila Mimi nijuavyo hata kule Everton jamaa alikuwa anatusumbua sana akicheza namba 10 na anakuwa mgumu kucheza nae. Kwa hiyo bado naamini mfumo Wa kocha utaiumiza sana hii timu na nyoyo zetu mashabiki Wa Man U siyo Mou,labda kama kocha atabadilisha mbinu na kuwapa Uhuru zaidi wachezajiPogba mzito
Fred mzito
Lukaku mzito
Timu inatoa wapi uwezo wa kushambulia kwa kasi mkuu.
Jamani huyu Fred siyo mzito na si mbovu kama watu wanavyoamini ila kwa juzi niliona alichezeshwa nyuma zaidi na huyu jamaa ni kiungo mshambulizi zaidi ndio huwa ni mzuri zaidi. Ni kama fellaini anavyoaminiwa kama namba sita,ila Mimi nijuavyo hata kule Everton jamaa alikuwa anatusumbua sana akicheza namba 10 na anakuwa mgumu kucheza nae. Kwa hiyo bado naamini mfumo Wa kocha utaiumiza sana hii timu na nyoyo zetu mashabiki Wa Man U siyo Mou,labda kama kocha atabadilisha mbinu na kuwapa Uhuru zaidi wachezaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu anaye sema Lukaku mzito huwa simwelewi na sitamwelewa kwa kasi aliyonayo lukaku inatosha kabisa kwa nafasi anayo cheza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi,yule jamaa hata Mimi huwa naona siyo quality striker. Ball control yenyewe ni shidaNakubaliana na wewe mkuu,hao wote ni wachezaji wazuri tu.
Ila kikubwa ni hata tukibadili kocha basi tujue hatuna namba tisa wa kuaminika,Lukaku sio kabisa.
Jamaa first touch zinamsumbua sana,na kwa mshambuliaji kuwa na shida ktk umiliki Wa mpira hasa anapopokea mpira kwa Mara ya kwanza ni kitu tatizo sana kwa sababu defenders wako shapu sana hivyo unapopoteza mpira kidogo sana tayari umewapa faida. Kasi anayo ktk kukimbia ila kasi ya kufanya maamuzi kuna wakati ana tatizo sana so hilo ni tatizo lingine kubwa saaaana kwa mshambuliajiMtu anaye sema Lukaku mzito huwa simwelewi na sitamwelewa kwa kasi aliyonayo lukaku inatosha kabisa kwa nafasi anayo cheza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa akiuzwa hamuoni mtapata tabu sana. Maana hamna kiungo inayomkata namba Pogba kwa sasa..Huyo kijana angeuzwa tu,mana naona anataka kuwa Mkubwa zaidi ya Manchester United
Sent using Jamii Forums mobile app