Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,297
- 46,749
Fred sio mzito kama unavyosema,,jamaa yupo sharp ndo maana ata pasi zake nyingi zinapotea maana timu inacheza kwa speed ya konokono..Pogba mzito
Fred mzito
Lukaku mzito
Timu inatoa wapi uwezo wa kushambulia kwa kasi mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app