Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tatizo sio mourinho kocha alikuwa na mapendekezo yake msimu ulioisha cha ajabu hakutimiziwa malengo yake tumeona moto wa perisic sasa hivi kataka mabek na viungo ona ed anavyomzungusha sasa kocha ana kosa gani?
 
"It is great to see the guys and see them happy see them train good ready for this season because something special will happen and I think the boss has something going on, but I will keep that a secret. Enjoy the season, I wish you all the best."

Zlatan ibrahimovic
 
Wapendwa tujiandae kuwa na msimu mbaya zaidi..na naomba Huu uwe ni msimu wa mwisho wa Morinho

Tuleteeni hata babu ziizzou(ZIDANE) hapo OT jamani..

Majirani(Liverpool) wako vizuri kichizi na wana sababu zote za kubeba ndoo unless wafanye ujinga..
Liverpool wanavyuma sio mchezo yaani

Shakir
Keita
Allison
Fabinho

Wote hao wameongezwa kwenye kikosi chao..

Tutegemee man united ileile tu kama mambo yatasalia hivi...haiwezekani Valencia ndo anabaki kuwa RB wetu namba moja,,haiwezekani smalling abaki kuwa beki kipenzi wa mourinho,,,haiwezekani lingard/mata ndo RW tulionao..

Ukiangalia quality depth ya timu ya liverpool kuilinganisha na ya kwetu ni vitu viwili tofauti kabisa..liverpool there are far better

Man united inakuwa a bunch of overrated players..darmian,smalling,fellain,jones,valencia(kashachoka)..
 
Liverpool wanavyuma sio mchezo yaani

Shakir
Keita
Allison
Fabinho

Wote hao wameongezwa kwenye kikosi chao..

Tutegemee man united ileile tu kama mambo yatasalia hivi...haiwezekani Valencia ndo anabaki kuwa RB wetu namba moja,,haiwezekani smalling abaki kuwa beki kipenzi wa mourinho,,,haiwezekani lingard/mata ndo RW tulionao..

Ukiangalia quality depth ya timu ya liverpool kuilinganisha na ya kwetu ni vitu viwili tofauti kabisa..liverpool there are far better

Man united inakuwa a bunch of overrated players..darmian,smalling,fellain,jones,valencia(kashachoka)..
Yani unajua vitu vipo wazi na vinaonekana lkn nashangaa kwanini hawachukui hatua...!???

TUNAOUMIA NI SISI MASHABIKI
 
Tatizo sio mourinho kocha alikuwa na mapendekezo yake msimu ulioisha cha ajabu hakutimiziwa malengo yake tumeona moto wa perisic sasa hivi kataka mabek na viungo ona ed anavyomzungusha sasa kocha ana kosa gani?
acha nigeuke kinyonga siku ya leo kwa kumtetea ed woodward lakini kesho nitakuja kumtetea mourinho.
aigoooooo
gwenchanah gwenchanah
  1. wakati wa peter kenyon usajili mkubwa na wa gharama uliofanywa na manchester united ulikuwa ni usajili wa rio ferdinand kutoka leeds united kwa pound million 33.
  2. wakati wa utawala wa david gill biashara kubwa ya gharama aliyoifanya ilikuwa ni usajili wa dimitar berbatov kwa pound million 31.
  3. ed woodward ana matatizo yake lakini kwenye ishu ya kumwaga hela kwenye usajili anajitahidi sana japokuwa yupo kibiashara zaidi ila bahati mbaya wanaomuangusha ni makocha waliorithi timu kutoka kwa alexander ferguson. tusisahau edwoodward ndiye aliyekuwa mtendaji mkuu wa klabu wakati sir alex anamsajili robin van persie.
  4. achana na david moyes kutokuwa na ushawishi kwa wachezaji na hatimaye kuishia kumsajili fellaini na kuzidiwa kete na guardiola kwenye usajili wa alcantara. alipokuja van gaal woodward alifanikisha usajili wa wachezaji kama dimaria (54 million), darmian (14 million), blind (15 million), schneiderlin(26 million), martial(40 million), marcos rojo (17 million), sergio romero, victor valdes, luke show (27 million), mwisho wa msimu tuliishia hatua ya makundi kwenye ligi ya ulaya na kuishia nafasi ya 5 kwenye ligi kuu, kwa nini tumlaumu ed woodward?
  5. tukirudi kwa mourinho naye kisingizio chake kikubwa ni kuwa eti amerithi timu dhaifu zaidi ya timu aliyorithi mpinzani wake guardiola, inawezekana muna ukweli uliodhahiri ndani ya hoja yake lakini ed woodward kwenye soko la usajili alimpa msaada mkubwa sana, tunapaswa tukumbuke ya kwamba msimu wa mwanzo wa mourinho alisajili wachezaji kama vile eric bailly (pound million 25), mkhitaryan (pound million 26) na pia tulivunja rekodi kwa kumsajili paul pogba kutoka juventus.
  6. msimu uliopita alikubali kulipa pound million 75 kwa usajili wa lukaku, lindeloaf (30 million) na januari alifuta kosa lake la kushindwa kumsajili perisic baada ya kulipa pound million 30 kwa ajili ya sanchez. msimu huu tayari ameshalipa million 53 kwa ajili ya fred, sasa kwa nini tumlaumu ed woodward?
  7. timu aliyonayo mourinho ni kubwa zaidi ya kikosi cha manchester united kilichoshinda ubingwa kwa mara ya mwisho ila yeye ndio tatizo kwa sababu a meshindwa kutengeneza chemistry ya maana kwa wachezaji.
37769265_1996927227033911_1369043262509154304_n.jpg
José on MUTV: "As always, I give my list of players I want to Mr. Woodward, and I wait to see what happens. Am I happy? I am not happy with many things, but I have not spoken to him as he is on his holidays.”
1f611.png
🙂😡😕😛😀😳🙄😵😕
shikamooo woodward na nimeona tetesi zinasema mourinho anataka kuachana na timu.​
 
acha nigeuke kinyonga siku ya leo kwa kumtetea ed woodward lakini kesho nitakuja kumtetea mourinho.
aigoooooo
gwenchanah gwenchanah
  1. wakati wa peter kenyon usajili mkubwa na wa gharama uliofanywa na manchester united ulikuwa ni usajili wa rio ferdinand kutoka leeds united kwa pound million 33.
  2. wakati wa utawala wa david gill biashara kubwa ya gharama aliyoifanya ilikuwa ni usajili wa dimitar berbatov kwa pound million 31.
  3. ed woodward ana matatizo yake lakini kwenye ishu ya kumwaga hela kwenye usajili anajitahidi sana japokuwa yupo kibiashara zaidi ila bahati mbaya wanaomuangusha ni makocha waliorithi timu kutoka kwa alexander ferguson. tusisahau edwoodward ndiye aliyekuwa mtendaji mkuu wa klabu wakati sir alex anamsajili robin van persie.
  4. achana na david moyes kutokuwa na ushawishi kwa wachezaji na hatimaye kuishia kumsajili fellaini na kuzidiwa kete na guardiola kwenye usajili wa alcantara. alipokuja van gaal woodward alifanikisha usajili wa wachezaji kama dimaria (54 million), darmian (14 million), blind (15 million), schneiderlin(26 million), martial(40 million), marcos rojo (17 million), sergio romero, victor valdes, luke show (27 million), mwisho wa msimu tuliishia hatua ya makundi kwenye ligi ya ulaya na kuishia nafasi ya 5 kwenye ligi kuu, kwa nini tumlaumu ed woodward?
  5. tukirudi kwa mourinho naye kisingizio chake kikubwa ni kuwa eti amerithi timu dhaifu zaidi ya timu aliyorithi mpinzani wake guardiola, inawezekana muna ukweli uliodhahiri ndani ya hoja yake lakini ed woodward kwenye soko la usajili alimpa msaada mkubwa sana, tunapaswa tukumbuke ya kwamba msimu wa mwanzo wa mourinho alisajili wachezaji kama vile eric bailly (pound million 25), mkhitaryan (pound million 26) na pia tulivunja rekodi kwa kumsajili paul pogba kutoka juventus.
  6. msimu uliopita alikubali kulipa pound million 75 kwa usajili wa lukaku, lindeloaf (30 million) na januari alifuta kosa lake la kushindwa kumsajili perisic baada ya kulipa pound million 30 kwa ajili ya sanchez. msimu huu tayari ameshalipa million 53 kwa ajili ya fred, sasa kwa nini tumlaumu ed woodward?
  7. timu aliyonayo mourinho ni kubwa zaidi ya kikosi cha manchester united kilichoshinda ubingwa kwa mara ya mwisho ila yeye ndio tatizo kwa sababu a meshindwa kutengeneza chemistry ya maana kwa wachezaji.
37769265_1996927227033911_1369043262509154304_n.jpg
José on MUTV: "As always, I give my list of players I want to Mr. Woodward, and I wait to see what happens. Am I happy? I am not happy with many things, but I have not spoken to him as he is on his holidays.”
1f611.png
🙂😡😕😛😀😳🙄😵😕
shikamooo woodward na nimeona tetesi zinasema mourinho anataka kuachana na timu.​
Nimewahi sema humu na Ninarudia tena.



Manchester United itasonga mbele mpaka siku team itakapotambua Mourinho ndio tatizo la Team Kusonga mbele.


Sina haja ya kurudia sababu zinazonifanya niamini hivi kwani nimeandika sana humu kuhusu hilo.


GGMU
 
Back
Top Bottom