kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,305
- 6,350
Tunalazimishwa kuwa hivyo ila hamna kitu pale. Kwa uchezaji Wa pogba Wa sasa ni heri timu iwe na mctominay msimu mzima katika namba ya pogba na atakuwa na mchango Mkubwa kuliko Huyo jamaa. Labda kama atabadilika,ila kwa sasa miongoni mwa wachezaji wanaofanya timu iwe slow na kufanya vibaya ni pogbaSasa akiuzwa hamuoni mtapata tabu sana. Maana hamna kiungo inayomkata namba Pogba kwa sasa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app