Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sikatai ila ulivyomuelezea ni utadhani yeye angekuwepo hayo yasingetokea

Sent using Jamii Forums mobile app
Our defence is shit except De Gea hii ni Fact akicheza Matic anafanya kazi kubwa ku-protect back four,

ndio maana nimekwambia even game against Leicester (Ihenacho na mwenzake) walikosa magoli ambayo Vardy angekuwepo asingekosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni kwa kipigo manjesta. Hawa watoto hawana adabu siku hizi.

Pole hii ni Kwa hisani ya Brighton & Hove Albion

Mtu Mzito HEAVY WEIGHT
 
Since the WC,Dea Gea has conceded 10 goals from just only 14 shots on target in all competitive matches!
Hii ina maana kuwa 72% ni chance ya kumfunga De Gea ili mradi tu unyooshe golini
Ehehehe yajayo pale Liverpool yanafurahisha jamani
 
A lil bit Matic
Kaka hamia kwetu ule raha
Kesho na CP naangalia game huku napiga mvinyo wangu pole pole sana
Huwezi ukafungua mvnyo kuangalia Man U maana utaumwaga tu kwa hasira
Nani sasa hayaogopi bado majogoo?
Lol Majogoo mnaanzaga moto baada ya mechi 3 huwa tunasikia fukuza fulani na fulani na Mjerumani, na Mjerumani. Msimu huu mtafukuza Wabrazil waliobaki ktk banda la kuku.
 
Mourinho sio kocha sahihi pale OT..afurumwishwe mapema kabla hajeta disaster..

Kocha badala ya kufundisha mpira yeye ni kugombana tu na wachezaji,bodi n.k

MOURINHO OUT..huyu jamaa ni mhuni tu..na bado Spurs anatufanya kweli mechi ijayo

Mfuteniiiiiiiii kaziiiiiii huyuuuu muhuuuniiii wa kireeeenoooo,,,,kazi kugombana tu na wachezajiiii na uongoziiii wa clabuuu...mpira unafundishwaaaa na sio kelele kelele tuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa muungwana huyo muhuni anayo makombe zaidi ya 24 ni kocha wa team nzito nzito mpe heshima yake analo jina kubwa kuliko unaowaona wewe ni makocha,heshimu football
 
Lol Majogoo mnaanzaga moto baada ya mechi 3 huwa tunasikia fukuza fulani na fulani na Mjerumani, na Mjerumani. Msimu huu mtafukuza Wabrazil waliobaki ktk banda la kuku.
Hii ndo faraja pekee waliyobaki nayo maadui wa Liverpool FC.

Ila Manchester Utd huu mwaka washabiki watafanywa kuwa mashetani weusi.

Mwendo wa kujificha tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi jana tulipiga 26 offtargets, 15 On targets ..vip ukuziona hizo?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wacha Kujisifia Mashuti Yote Muliyopiga Ni 24, na Ni 11 tu Ndiyo On Target.

Screenshot_20180820-074433.png
 
Kuwa muungwana huyo muhuni anayo makombe zaidi ya 24 ni kocha wa team nzito nzito mpe heshima yake analo jina kubwa kuliko unaowaona wewe ni makocha,heshimu football

Pep Guardiola has 28 silverwares and counting!
Na bado kila siku anainvent his styles na kwake kupaki bus ni mwiko!
Football is evolving kila siku na kutegemea style moja matokeo yake ndio yaliyomkuta huyo mdomo mkubwa Jose
 
Today is Brighton
It's Brighton and fair
O Happy day
The day of joy
 
Hatukatai kufungwa ila jinsi tunavyofungwa ndio inauma sana.
Inatia uchungu leo hii kikosi cha mabilioni kumkosa mchezaji mmoja ikawa sababu ya kutokucheza vizuri na kupoteza mchezo.
Dalili hazikuwa nzuri tangu mechi yetu na leicester kwamba timu inacheza kama kuku asiye na kichwa.
Kwa anayeujua mpira vizuri aniambie kwa nini Herrera anakalishwa benchi na Fred achilia mbali sababu ya majeruhi maana alikuwa sub.
Liverpool walikuwa na tatizo la beki wa kati msimu jana lakini walificha madhaifu yao kuanzia kiungo kwenda mbele.
Tusiogope kuambizana ukweli zama za mourinho zimeisha maana hatuoni mabadiliko ya kiufundi na kimbinu tokea mwaka juzi.
GGMU yangu.
 
Kuwa muungwana huyo muhuni anayo makombe zaidi ya 24 ni kocha wa team nzito nzito mpe heshima yake analo jina kubwa kuliko unaowaona wewe ni makocha,heshimu football
: The problem at United is Mourinho, no matter how good you are, if someone keeps moaning and is unhappy, that negative atmosphere spreads..I keep saying it United have an amazing squad that is capable under an attacking manager to fight for the title..

Nimependa sana maoni ya mmoja wa mashabiki wa United mtandaoni.Wewe endelea kuishi na Cv ya Mourihno ya miaka 10 nyuma.Hata Wenger kuna kipindi alicheza msimu mzima bila kupoteza mechi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom