Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,299
- 46,750
Mourinho sio kocha sahihi pale OT..afurumwishwe mapema kabla hajeta disaster..
Kocha badala ya kufundisha mpira yeye ni kugombana tu na wachezaji,bodi n.k
MOURINHO OUT..huyu jamaa ni mhuni tu..na bado Spurs anatufanya kweli mechi ijayo
Mfuteniiiiiiiii kaziiiiiii huyuuuu muhuuuniiii wa kireeeenoooo,,,,kazi kugombana tu na wachezajiiii na uongoziiii wa clabuuu...mpira unafundishwaaaa na sio kelele kelele tuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kocha badala ya kufundisha mpira yeye ni kugombana tu na wachezaji,bodi n.k
MOURINHO OUT..huyu jamaa ni mhuni tu..na bado Spurs anatufanya kweli mechi ijayo
Mfuteniiiiiiiii kaziiiiiii huyuuuu muhuuuniiii wa kireeeenoooo,,,,kazi kugombana tu na wachezajiiii na uongoziiii wa clabuuu...mpira unafundishwaaaa na sio kelele kelele tuuu
Sent using Jamii Forums mobile app

