Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Why 'NO' ?
Suluhisho aje D.Simeoni tuWale Wanazi wa huyu mzaramo "Mou" siwaoni wakija kupiga zumari la kocha wao.
Nina hamu sana niwasikie wanasemaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Na spurs tunao jumatatu..huwezi kuwa unagombana na wachezaji tu na huongei nao vizuri na utegemee utawapanga tu kwa makusudi ili uone watafanya nini(rejea jana martial alivyokuwa)Wale Wanazi wa huyu mzaramo "Mou" siwaoni wakija kupiga zumari la kocha wao.
Nina hamu sana niwasikie wanasemaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale Wanazi wa huyu mzaramo "Mou" siwaoni wakija kupiga zumari la kocha wao.
Nina hamu sana niwasikie wanasemaje
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sina furaha kabisa kuiangalia man united chini ya huyu jamaa..Tokea Jana Hakuna Hata Mmoja Aliyejitokeza, Wote Wamejificha Kwani Wameshindwa Kupata Kisingizio.
Wanasubiri Man United ije ishinde Mchezo Mmoja Waje Wajitokeze.
Mwaka huu nina team nzuri,sina kisingizo chochote
Nachukua EPL
humu kuna mashabiki wa mou na wa MU mashabiki wa mou wanahoja za kipuuz sana
Sent using Jamii Forums mobile app
LukakuOn your opinion who is the best United player signed by Mourinho ?
Pogba
Bailly
Zlatan
Lukaku
Matic
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo pamoja mkuu..mimi nilikuwa mtu namba moja kabisa kumtetea Mourinho kokote kule nnapoona watu wanamcriticize nilitetea sana hata aina ya mpira wake usiovutia....timu ipo nyuma ya mwalimu, uongozi, hata mashabiki pia but not to that extent imetosha sasa.
lakini leo ndiyo kwanza mechi ya pili kati ya 38 tushapoteza matumaini na kukata tamaa....timu ambazo inabidi uchukue points ili kukupa ubingwa ndio timu ambazo tunagawa points ili wao wasishuke daraja what a shame???...his days are numbered???? absolutely YES
ninachoona kwasasa ED anampa muda Mourinho kama atabadili mwenendo wako. (style of playing, kusema hovyo uongozi, kushutumu wachezaji wanapofanya vibaya etc)
MWISHO: Mourinho OUT enough is enough tumechoka kusemwa hovyo timu haijui inataka nini, wachezaji hawamtaki kocha uongozi pia.
Darmian nitakupigia simu kukuomba msamaha..MOURINHO SIO KOCHA ZAMA ZIMEBADILIKA
Lakini ndio kocha wa klabu yako mpka sasa na hakuna dalili zozote zile na kuondoka kwake.Mkuu sina furaha kabisa kuiangalia man united chini ya huyu jamaa..
Japo Liverpool ni mahasimu wetu,ila nawahusudu sana,,klopp alionyesha mwanga tokea mwanzo akiwa na wachezaji aliowakuta na sasa ivi wapo on fire mbaya..Saa nne lazima nicheki gemu yao niienjoy soka
Kocha anategemea eti fellaini apigiwe mipira ya hewani ili apige kichwa,,yaani hana game plan kabisa huyu jamaa..hovyo hovyo
Sent using Jamii Forums mobile app
.We jamaa team gani mbona unanyapia nyapia kwa wenzio. Au chelshit?Lakini ndio kocha wa klabu yako mpka sasa na hakuna dalili zozote zile na kuondoka kwake.
Hivyo wewe endelea kuumia tu![]()
![]()
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna yule Jamaa anaitwa Radika sijui yupo kwenye hali gani. Na kwa kichwa chake chenye kazi ya kunyoa viduku na kufugia nywele kama za Fellaini, utashangaa tukishinda vs Spurs yeye na genge lake watakuja kutupa ubuyu humu. Sijui wanafikiri nini vichwani mwao.Na spurs tunao jumatatu..huwezi kuwa unagombana na wachezaji tu na huongei nao vizuri na utegemee utawapanga tu kwa makusudi ili uone watafanya nini(rejea jana martial alivyokuwa)
Huyu jamaa ni bora atimuliwe saivi kwani hata big four tunaweza tusiguse msimu huu..
MOURINHO OUT..nasema Mourinho Out!!
Sent using Jamii Forums mobile app