Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sio Arsenal tu hata Leeds wakicheza vizuri watapiga Man U bao nyingi sana.

Nilitamani sana Zlatan aondoke Man ndoto yangu umekuwa kweli nataka afuate Pogba na Mourinho najua wengi mtanipinga kwa Pogba.
yani kwa huu mpira wa ajabu tunaocheza hata arsenal anaweza akatufunga nyingi yani hatakupiga pasi zenye madhara hakuna
 
Sio Arsenal tu hata Leeds wakicheza vizuri watapiga Man U bao nyingi sana.

Nilitamani sana Zlatan aondoke Man ndoto yangu umekuwa kweli nataka afuate Pogba na Mourinho najua wengi mtanipinga kwa Pogba.
huyu pogba leo kawa kama nini sijui
 
kwa hii mipango ya kocha hata uwaweke messi na ronaldo na griezman na dybala kwenye hii timu bado hakunanjipua litafanyika mourinho hovyoooo
 
all in all ONCE RED ALWAYS RED BADO NAIPENDA TIMU YANGU
GGMU
 
Yaani Pogba sio Mchezaji wenye macho makubwa ndio wataona ila walijaa ushabiki wa timu hawawezi kugundua.

Pogba kwanza anajiona sana na endapo akizoea kitambaa cha unahodha basi atasumbua sana, tunataka wachezaji wanaocheza kwa mbio sio kutembea kama ngongoti huyu wa Kifaransa.

Pogba Mou mkienda hakika nitafurahi sana.
Pogba sijwai kumkubali tokea anasajiliwa. akiondoka nitafurahi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Pogba sio Mchezaji wenye macho makubwa ndio wataona ila walijaa ushabiki wa timu hawawezi kugundua.

Pogba kwanza anajiona sana na endapo akizoea kitambaa cha unahodha basi atasumbua sana, tunataka wachezaji wanaocheza kwa mbio sio kutembea kama ngongoti huyu wa Kifaransa.

Pogba Mou mkienda hakika nitafurahi sana.
Mkuu tatizo ni mwalimu tu ambae Maurinho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom