Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna wakongwe wa Man Utd hapa hawaonekani leo. Wapi Belo , Nzi, @ DonDonald RRONDO etc. Ni sababu ya mechi ngumu au ni kwa vile ni mwanzoni mwa ligi?
 
Ukweli ni kuwa Timu Aichezi Kwa Umoja Yaani Uoni Ile Umoja Wa Wawachezaji

Dalili ya Kurudi Mbili na kuongeza Sidhani.

Yaani MPka Inaumaa
Kuna dalili ya wachezaji kutotaka kucheza chini ya Mou.
 
Yaani Mourinho sijui aliyetoa wazo la kumchukua ni nani huyo.

LVG angekuwa bado yupo hakika angekuwa na timu nzuri sana.
 
yani timu haina mpango wa kutengeneza nafasi za kushindi hata goli moja what a dissapointment
 
Back
Top Bottom