Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Looserfool Kaa kimya.
You've no right to shut my mouth!
By the way! Hizo misunderstanding zako Kwenye Articles na Comments ndiyo zinazokufanya uonekane Joker.
Looserfool Kaa kimya.
Mkuu kwa mtazamo wako unaamini tuna timu nzuri ya kumzidi Man city?Mou ana timu nzuri asilete visingizio.
Ndio.Mkuu kwa mtazamo wako unaamini tuna timu nzuri ya kumzidi Man city?
Beki Mdachi atua City.Kwani wachezaji ni hao watano tu? au wangeweza kuwa 10?
Excuses zimeanza mapema kabla msimu haujaanza, ili akiboronga aje aseme "nilitaka wachezaji watano Man utd wamenipa wawili"
Kama kocha lazima atambue kuwa kuna mchezaji kukubali na kukataa, sasa kama amekataa manake ndo Mou kwisha hana la kufanya?
How much did we spend on players during his time? are we spending the money wisely?
Fact.You've no right to shut my mouth!
By the way! Hizo misunderstanding zako Kwenye Articles na Comments ndiyo zinazokufanya uonekane Joker.
You've No right to baptize me A joker.You've no right to shut my mouth!
By the way! Hizo misunderstanding zako Kwenye Articles na Comments ndiyo zinazokufanya uonekane Joker.
So what who cares?Beki Mdachi atua City.
Manchester City wamethibitisha usajili wa beki Philippe Sandler kutoka klabu ya Ligi kuu ya Uholanzi , PEC Zwolle.
Sandler mwenye umri wa miaka 21 ni zao la shule ya soka ya Ajax ana urefu wa 6ft 2in akicheza nafasi ya beki wa kati huku pia akiwa ana uwezo wa kucheza eneo la kiungo mzuiaji.
ndugu umeua kweli tupu yaaniMabishano yenu yanaonesha hii timu tumezoea high standards maanake hata namba 2 haitoshi.
GGMU
Alivyorudi chelsea mara ya pili na team ilipotaka kushuka daraja hakupewa fungu la kusajili???jamani ngoja niwakumbushe kidogo kipindi ambacho mou anasajiliwa kwa mara ya kwanza pale chelsea kila msimu alikua anapewa fungu la kutosha kusajili wachezaji anaotaka yeye ikafika kipindi akawa na kikosi kipana sana mpaka aliesub unatamani awepo first eleven......nakumbuka misimu yake minne kabla hajafukuzwa united tulichezea sana vichapo ushindi kwetu ilikua sare na pale stamford palikua pamoto hakuna mfano enzi izo huwezi amini mpaka jamaa anafukuzwa babu fergie alifanikiwa kumfunga mechi moja tu tena moja bila.....na mpaka anaondoka aliacha kikosi kipana sana mpaka aliemfuatia hakua na sababu za yeye kusajili wachezaji wengine....
sasa kwanini ed hataki kumpa huyu jamaa afanye yake????swali lipo hapa
We jamaa umerise fact ambayo sijawahi kuifanyia Logic Thinking.Swali langu linarudi palepale Mou analalamika usajili je mpaka sasa tokea amekuja united amesajili wachezaji wangapi?? Kati yao wangapi wanaperform sawasawa na walikotoka? Pogba amekuja akiwa WC player micki, na wengine hawa wote wameshindwa kufanya vizuri shida ni nini?.
Kama alinunua wachezaji wazuri lakini wameflop na amekuta kina Martial Rashford wakiwa vizuri wote now wameflop wakija hao wengine tuna uhakika gani kama wataperform vizuri au ndo mauza uza yataendelea.
Kuna timu ndogo tu pale EPL zinapiga mpira mzuri kuliko sisi na hawana World class players.
Hitimisho Mou ndo tatizo pale period.
ulishawahi kulamba matapishi halafu ulijisikiaje baada ya kuyalambaAlivyorudi chelsea mara ya pili na team ilipotaka kushuka daraja hakupewa fungu la kusajili???
Nayasubiri majibu yako kwa hamu mkuu.
Mkuu ukimsikiliza kocha anasema aliomba wachezaji watano na mpaka sasa ni wachezaji wawili tu aliopewa ukimtoa bwana lee alikuja kumreplace joel anayeondoka kwa mkopoSasa mkuu asipolaumiwa kocha kwenye kukosa back up alaumiwe nani?