Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wapi Pogba, wapi Alexis, wapi Lukaku? Pesa mingi imemwagwa kama ujenzi wa barabara Dar foleni ipo pale pale

Man u anabakwa gheto etihad

Hii timu maji kupwa maji kujaa

Dadeq...piga mbwa...

Mourinho fala sana kocha huyu.

Yani tunacheza kama sisi ndo mabingwa vile

Huyu Pogba alizani atawaogopesha Man City Kwa rangi za Nywele 😀😀😀

Sanchez kawa beki siku hizi...

hio ndo Mwanitesa utd

Smalling na young hamna kitu. Valencia anacheza kombelela tu ndani humu

hakuna cha cb....,timu yote hamna ki2....

Mwanitesa United Wanakeketwa bila ganzi Huko Etihad stadium

Sio hawamtaki..Sanchez ni mzigo mkubwa amecost timu nzima, winga ya kushoto imekufa kabisa.

Nilitaka kushangaa Man City hawapo
1.deBruine
2.Aguero
3.Walker
Halafu watufunge???
Daah wabongo bana, yani tukifungwa tu mtasema yooote!!

Haya njooni mfute takataka zenu huku...
 
Niliongea humu ndani, mashabiki wa Manchester mnalalamika mnooo aisee,

Never doubted mourinho
 
Not on our watch aissee...yahani noise neighbors walitaka kuchukua mke mbele yetu dah aibu ya msimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…